Hukumu Chalinze
TAMBO, mbwembwe na kejeli zilizokuwa zikitolewa kwenye mikutano ya kampeni za kuwania ubunge wa Chalinze leo zinatarajia kufikia kikomo wakati wakazi wa jimbo hilo watakapopiga kura Wagombea watano kutoka vyama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Taarifa ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YwtoSzhYjwc/VORLdB8wbSI/AAAAAAAHEUE/toz15YgcljI/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-18%2Bat%2B11.12.49%2BAM.png)
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze. Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya :
http://www.utt-pid.orgAu ...
11 years ago
Michuzi05 Aug
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg)
Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi wajengewe mzingira mazuri zaidi ya kujisomea lakini...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/08/112.jpg?width=650)
MBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE AZINDUA MAKTABA YA KISASA SHULE YA SEKONDARI CHALINZE
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akikata utepe kuzindua maktaba ya shule ya sekondari ya Chalinze jana ambayo imejengwa na Kampuni ya Tanga Cement kupitia bidhaa yake ya Simba Cement kwa kushirikiana na taasisi ya Read International kwa gharama ya shilingi milioni 42 za kitanzania katika kuboresha elimu jimboni humo, Mbunge huyo pia ameahidi kujenga jiko katika shule hiyo na kuongeza kompyuta ili wanafunzi...
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
Huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/215.jpg?width=650)
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU CHALINZE
Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya vyombo vya ndani na Tende Mzee Ahmad Ramadhan mmoja wa wazee wa kijiji cha Changarikwa wakati alipotoa zawadi hizo kwa familia zenye mahitaji muhimu katika kata ya Mbwewe jana.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5Z6sYt_puM/VMoZUzMTUvI/AAAAAAAHAJQ/96SAMzXyANU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-01-29%2Bat%2B2.15.44%2BPM.png)
UTT-PID yawatangazia umma juu ya upimaji na uuzaji wa viwanja katika mji wa Chalinze (New Chalinze City)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5Z6sYt_puM/VMoZUzMTUvI/AAAAAAAHAJQ/96SAMzXyANU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-01-29%2Bat%2B2.15.44%2BPM.png)
Fomu za Maombi zinapatikana katika matawi ya Benki ya Posta ya Azikiwe, Metropolitan na Mkwepu kwa Mkoa wa Dar es Salaam na kwa Pwani zinapatikana katika tawi dogo la Benki ya Posta Bagamoyo na ofisi za Posta Chalinze.
Pia maombi yanaweza kufanyika kupitia tovuti yetu ya : http://www.utt-pid.org Au ...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Siku ya hukumu
Pamoja na maneno mengi yaliyosemwa, shutuma lukuki zilizotolewa na mbinu za kila aina kutaka kuzuia mjadala wa ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL, leo ndiyo siku yake ya hukumu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania