Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIWAYA ZA ABUNUWASI

Kuna wakati, Abunuwasi aliamua kuwa mfuga mbuzi. Alinunua mbuzi wa kufuga huku akiwa na lengo la kujiongezea kipato chake pindi mbuzi huyo atapoanza kuzaa, ili awafuge ndama wawe wengi na kumuwezesha kuwa tajiri kuliko wote waliokuwepo katika mji ule..
Siku moja Abunuwasi akipokuwa anampeleka mbuzi wake malishoni, alikuta kiatu kimoja kizuri sana katikati ya njia. Alisimama na kukiangalia. Kiatu kilipendeza machoni mwake ila akasema "kiatu hiki ni kizuri lakini mbona kipo kimoja tu?"...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ABUNUWASI NA HUKUMU YA KIJANA



Hapo zamani za kale katika nchi moja Afrika, paliishi mama mmoja ambaye alikuwa mjane. Muda mfupi tu kabla ya mumewe kufariki walijaliwa mtoto mmoja wa kiume ambaye huyo mama alimlea kwa shida na taabu nyingi. Hata hivyo mama na mtoto wake walipendana ipasavyo. Hapo katika kijiji chao kulikuwa pia na tajiri mmoja ambaye alikuwa bahili na katili kweli. Yule kijana maskini alikwenda kwa tajiri kuomba kazi. Tajiri alimwambia kwamba alikuwa na kazi kwake na angemlipa vizuri sana.
Kijana...

 

10 years ago

Mwananchi

Riwaya ya Kiswahili

Maelezo mengi yametolewa kuhusu riwaya ya Kiswahili lakini yafaa nieleze kwa mtiririko wa kimantiki kuhusu maana, asili na chimbuko la riwaya ya Kiswahili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Riwaya ya athari za mihadarati G Bissau

Je kifo cha babake Buba kitamchochea kujiunga na kituo cha kurekebishia tabia ? Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari zake

 

9 years ago

Michuzi

MTUNZI MAHIRI NA MKONGWE WA RIWAYA SAM KITOGO AIBUKA NA 'OPERESHENI KIGALI'

Mtunzi mahiri na mkongwe wa riwaya za kusisimua nchini SAM KITOGO amekuja kivingine na kitabu chake kipya 'OPERESHENI KIGALI' ambacho ni moto wa kuotea mbali. Ukihitaji nakala rejareja ama kwa jumla mpigie kwa namba +255 655 711515

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia

Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki

 

10 years ago

Michuzi

mjue James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua aliyefanya wengi wapende kusoma vitabu

Na Sultani Kipingo


Wengi tumesoma  vitabu vya James Hadley Chase,  mwandishi wa riwaya za kusisimua  maarufu sana wa Uingereza, hasa wakati tukipambana na kujua lugha ya Kiingereza wakati wa shule kidato cha kwanza hadi cha nne, na hata high school.Nadhani kwa hili hata Profesa Mbele ataniunga mkono ninaposema kuwa utamaduni wa kupenda kusoma huanzia kwenye kuwepo kwa vitabu vya kusisimua kama vya Chase. Na wengi tuliua ndege wawili kwa jiwe moja – yaani kupenda kusoma na pia kujifunza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani