Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Riwaya ya Kiswahili

Maelezo mengi yametolewa kuhusu riwaya ya Kiswahili lakini yafaa nieleze kwa mtiririko wa kimantiki kuhusu maana, asili na chimbuko la riwaya ya Kiswahili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RIWAYA ZA ABUNUWASI

Kuna wakati, Abunuwasi aliamua kuwa mfuga mbuzi. Alinunua mbuzi wa kufuga huku akiwa na lengo la kujiongezea kipato chake pindi mbuzi huyo atapoanza kuzaa, ili awafuge ndama wawe wengi na kumuwezesha kuwa tajiri kuliko wote waliokuwepo katika mji ule..
Siku moja Abunuwasi akipokuwa anampeleka mbuzi wake malishoni, alikuta kiatu kimoja kizuri sana katikati ya njia. Alisimama na kukiangalia. Kiatu kilipendeza machoni mwake ila akasema "kiatu hiki ni kizuri lakini mbona kipo kimoja tu?"...

 

10 years ago

BBCSwahili

Riwaya ya athari za mihadarati G Bissau

Je kifo cha babake Buba kitamchochea kujiunga na kituo cha kurekebishia tabia ? Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari zake

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia

Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki

 

9 years ago

Michuzi

MTUNZI MAHIRI NA MKONGWE WA RIWAYA SAM KITOGO AIBUKA NA 'OPERESHENI KIGALI'

Mtunzi mahiri na mkongwe wa riwaya za kusisimua nchini SAM KITOGO amekuja kivingine na kitabu chake kipya 'OPERESHENI KIGALI' ambacho ni moto wa kuotea mbali. Ukihitaji nakala rejareja ama kwa jumla mpigie kwa namba +255 655 711515

 

10 years ago

Michuzi

mjue James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua aliyefanya wengi wapende kusoma vitabu

Na Sultani Kipingo


Wengi tumesoma  vitabu vya James Hadley Chase,  mwandishi wa riwaya za kusisimua  maarufu sana wa Uingereza, hasa wakati tukipambana na kujua lugha ya Kiingereza wakati wa shule kidato cha kwanza hadi cha nne, na hata high school.Nadhani kwa hili hata Profesa Mbele ataniunga mkono ninaposema kuwa utamaduni wa kupenda kusoma huanzia kwenye kuwepo kwa vitabu vya kusisimua kama vya Chase. Na wengi tuliua ndege wawili kwa jiwe moja – yaani kupenda kusoma na pia kujifunza...

 

11 years ago

Mwananchi

KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi

Ngeli ni vikundi vya majina ya Kiswahili. Ngeli za nomino ni utaratibu unaotumika kuweka nomino katika matabaka au makundi yanayofanana.

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

11 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI

Mlezi wa chama  cha Chawakama na mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha Iringa Tulla Tweve  akitambulisha  wageni Mmoja kati ya  viongozi akieleza malengo ya Chawakama Mwalimu Chalamila akieleza  maana ya lugha ya kiswahili Mwalimu wa kiswahili  chuo cha Iringa ambae ni msanii wa wimbo wa Mufindi yetu  akiburudisha Wanachama  wakicheza  na msanii  huyo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?

Suala la matumizi ya lugha Tanzania limeleta ushindani mzito kati ya Kiswahili na Kiingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani