Riwaya ya Kiswahili
Maelezo mengi yametolewa kuhusu riwaya ya Kiswahili lakini yafaa nieleze kwa mtiririko wa kimantiki kuhusu maana, asili na chimbuko la riwaya ya Kiswahili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Sep
RIWAYA ZA ABUNUWASI
Kuna wakati, Abunuwasi aliamua kuwa mfuga mbuzi. Alinunua mbuzi wa kufuga huku akiwa na lengo la kujiongezea kipato chake pindi mbuzi huyo atapoanza kuzaa, ili awafuge ndama wawe wengi na kumuwezesha kuwa tajiri kuliko wote waliokuwepo katika mji ule..
Siku moja Abunuwasi akipokuwa anampeleka mbuzi wake malishoni, alikuta kiatu kimoja kizuri sana katikati ya njia. Alisimama na kukiangalia. Kiatu kilipendeza machoni mwake ila akasema "kiatu hiki ni kizuri lakini mbona kipo kimoja tu?"...
Siku moja Abunuwasi akipokuwa anampeleka mbuzi wake malishoni, alikuta kiatu kimoja kizuri sana katikati ya njia. Alisimama na kukiangalia. Kiatu kilipendeza machoni mwake ila akasema "kiatu hiki ni kizuri lakini mbona kipo kimoja tu?"...
10 years ago
BBCSwahili22 May
Riwaya ya athari za mihadarati G Bissau
Je kifo cha babake Buba kitamchochea kujiunga na kituo cha kurekebishia tabia ? Riwaya ya ulanguzi wa mihadarati na athari zake
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mwandishi mashuhuri wa riwaya nchini Kenya, Profesa Walibora ameaga dunia
Huzuni ya kumba tasnia ya uandishi na habari Afrika Mashariki
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nh5yusnPYQ8/VmSnyTiS9HI/AAAAAAAIKiU/7CsRxD2lT4s/s72-c/2a237b9c-dc1c-4391-8635-a8b845c2dcf5.jpg)
MTUNZI MAHIRI NA MKONGWE WA RIWAYA SAM KITOGO AIBUKA NA 'OPERESHENI KIGALI'
![](http://3.bp.blogspot.com/-nh5yusnPYQ8/VmSnyTiS9HI/AAAAAAAIKiU/7CsRxD2lT4s/s640/2a237b9c-dc1c-4391-8635-a8b845c2dcf5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-998-TAmQO38/U_AhM6tuvRI/AAAAAAAGAHI/NpT80uklLVE/s72-c/Chase_writer.jpg)
mjue James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua aliyefanya wengi wapende kusoma vitabu
Na Sultani Kipingo
Wengi tumesoma vitabu vya James Hadley Chase, mwandishi wa riwaya za kusisimua maarufu sana wa Uingereza, hasa wakati tukipambana na kujua lugha ya Kiingereza wakati wa shule kidato cha kwanza hadi cha nne, na hata high school.Nadhani kwa hili hata Profesa Mbele ataniunga mkono ninaposema kuwa utamaduni wa kupenda kusoma huanzia kwenye kuwepo kwa vitabu vya kusisimua kama vya Chase. Na wengi tuliua ndege wawili kwa jiwe moja – yaani kupenda kusoma na pia kujifunza...
![](http://3.bp.blogspot.com/-998-TAmQO38/U_AhM6tuvRI/AAAAAAAGAHI/NpT80uklLVE/s1600/Chase_writer.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Jul
KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi
Ngeli ni vikundi vya majina ya Kiswahili. Ngeli za nomino ni utaratibu unaotumika kuweka nomino katika matabaka au makundi yanayofanana.
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
11 years ago
Michuzi17 May
CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI
![](https://3.bp.blogspot.com/-DjAqPB6POFI/U3dgBR2MovI/AAAAAAABoNI/xWtWqCobeG8/s640/IMG_0987.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-oUwZr4WMSkQ/U3dflJ5J2XI/AAAAAAABoMo/V-8dVuzJfLw/s640/IMG_0989.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-uY1rc3qzWko/U3dgdSdAufI/AAAAAAABoNY/xcZMTNmPxF4/s640/IMG_0995.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-LbfTmwZVtS8/U3dg6QxE1tI/AAAAAAABoN4/WHF3kALUvEU/s640/IMG_1000.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-6tTe8omDQNY/U3dg2SD1q9I/AAAAAAABoNs/qnamPZ5O7eM/s640/IMG_1001.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kiswahili dhidi ya Kiingereza au Kiswahili pamoja na Kiingereza?
Suala la matumizi ya lugha Tanzania limeleta ushindani mzito kati ya Kiswahili na Kiingereza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania