ACACIA YAIDHAMINI STEND UNITED KWA KITITA CHA BILLIONI MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qoQ3Rzao_D8/VevAmAHzD_I/AAAAAAAAUis/6KhOzO90R0o/s72-c/1.jpg)
Mwenyekiti wa stand united Amani Vicent (kushoto) akibadilishana mkataba wa udhamini wa timu hiyo na Makamu wa rais wa ACACIA anaeshugulikia masuala ya Kampuni, Deo Mwanyika mara baada ya kutiliana saini mkataba wa miaka miwili na kampuni hiyo.
Baadhi ya wachezaji wa Stend United wakionyesha jezi watakazotumia msimu huu wa ligi kuu ya Vodacom mara baada ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali na wadhamini wao kampuni ya ACACIA.
Baadhi ya wachezaji wa Stend United wakiwa na baadhi ya maafisa kutoka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziEFM YAKABIDHI KITITA CHA SH. MILIONI MOJA KWA SHINDI WA SHINDANO LA KUBUNI MANENO YA KANGA
9 years ago
BBCSwahili21 Nov
MOJA KWA MOJA:Watford dhidi ya Man United
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s72-c/_DSC0638.jpg)
ACACIA YATANGAZA UDHAMINI MNONO KWA STAND UNITED YA SHINYANGA, NI WA MIAKA MIWILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s640/_DSC0638.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzR0bjQLY6*DjEMchQuuE3HcB-BgL8*z1kyG4NCqyl8y*I2zNRHRoW55*DuYDlUCc*HzHs-wozmffdSQOYJFEBta/c1.jpg?width=650)
BBC YAZINDUA STUDIO ZAKE NCHINI, KIPINDI CHA ASUBUHI CHA AMKA NA BBC KURUKA MOJA KWA MOJA KUTOKEA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s72-c/1.jpg)
BBC yazindua studio zake nchini,kipindi cha asubuhi cha Amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87opgzZT644/U-kvG9YDzQI/AAAAAAAF-vU/HHy3_J7MZD0/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
BBC Swahili yazindua studio nchini, Kipindi cha asubuhi cha amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea Dar
Mkuu wa Habari wa BBC Idhaa ya Ulimwengu,Bi. Nikki Clarke akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kurushia Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC jijini Dar es Salaam,katika Jengo lao lililopo Mikocheni.Kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh.(Picha zote na Othman Michuzi).
BBC Idhaa ya Ulimwengu, imezindua ofisi zake jijini Dar es Salaam. Ofisi za Dar es Salaam zina studio ambazo zinatumika kuandaa matangazo maarufu ya redio ya asubuhi, Amka na BBC, na pia...
9 years ago
MichuziMCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Mfaransa kuinoa stand United, ni chini ya ufadhili wa ACACIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-eogiPeGfKbY/Vaz8FxNwNkI/AAAAAAAAWYo/8NKf1UZ-bAA/s640/b3.jpg)
KOCHA Mfaransa, Patrick Liewig, akizungumzia mikakati yake ya kiufundi baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu ya soka ya Stand United ya Shinyanga, kwenye makao makuu ya kampuni ya Acacia jijini Dar es Salaam jana Jumatatu Julai 20, 2015. Mkataba huo ni chini ya udhamini mnono wa kampuni ya Acacia, inayomiliki migodi mitatu ya kuchimba dhahabu ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara.
Na K-VIS MEDIA
KLABU ya soka ya Stand United ya mjini Shinyanga, imesaini mkataba wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s72-c/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
MABONDIA KUPIMA UZITO IJUMAA STEND YA BAGAMOYO KWA AJILI YA MPAMBANO WA JUMAMOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vzGmvROQS_o/UH3BmEjEpjI/AAAAAAAAA78/E_XCPFwzd9s/s1600/SUPER+D+BOXING+COACH.jpg)
uliopo Bagamoyo mjini ambapo mabondia hawo watamalizia ubishi wao wa nani zaidi kati ya bagamoyo na Chanika
mpambano uho utakaosimamiwa na chama cha ngumi za kulipwa P.S.T litakuwa la raundi sita na kg 61 ambapo kutakuwa na mapambano mengine ya utangulizi siku...