Mfaransa kuinoa stand United, ni chini ya ufadhili wa ACACIA
KOCHA Mfaransa, Patrick Liewig, akizungumzia mikakati yake ya kiufundi baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuifundisha timu ya soka ya Stand United ya Shinyanga, kwenye makao makuu ya kampuni ya Acacia jijini Dar es Salaam jana Jumatatu Julai 20, 2015. Mkataba huo ni chini ya udhamini mnono wa kampuni ya Acacia, inayomiliki migodi mitatu ya kuchimba dhahabu ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara.
Na K-VIS MEDIA
KLABU ya soka ya Stand United ya mjini Shinyanga, imesaini mkataba wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s72-c/_DSC0638.jpg)
ACACIA YATANGAZA UDHAMINI MNONO KWA STAND UNITED YA SHINYANGA, NI WA MIAKA MIWILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-grekR2KslKU/VZ1kIQKT8NI/AAAAAAAAVyc/oU5ajElovUc/s640/_DSC0638.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s72-c/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
ACACIA KUKUSANYA DOLA 200,000 KWA AJILI YA UFADHILI WA ELIMU KWA WATOTO MASKINI, NI KUPITIA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-yfrR6KD4V_I/VYhKKm7B1bI/AAAAAAAAVNk/o6xM1bVxPCI/s640/ACACIA_KILIMANJARO.jpg)
Akizungumza muda mfupi kabla ya kuanza kwa safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kwenye lango la Machame,iliyo shirikisha watu 21, Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fvGseIlfU80/VBolObHB7BI/AAAAAAAAuNk/MjOoj7P7cpM/s72-c/picha%2Bmakala%2B1.jpg)
MAOFISA WA TBL WAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO INAYOWEZESHWA NA ACE AFRICA CHINI YA UFADHILI WAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-fvGseIlfU80/VBolObHB7BI/AAAAAAAAuNk/MjOoj7P7cpM/s1600/picha%2Bmakala%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--1BOwp0LBt4/VBolMbGRN4I/AAAAAAAAuNU/hSY_JVzZmKE/s1600/PICHA%2BMAKALA%2B2%2BACE%2BAFRICA.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-qoQ3Rzao_D8/VevAmAHzD_I/AAAAAAAAUis/6KhOzO90R0o/s72-c/1.jpg)
ACACIA YAIDHAMINI STEND UNITED KWA KITITA CHA BILLIONI MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-qoQ3Rzao_D8/VevAmAHzD_I/AAAAAAAAUis/6KhOzO90R0o/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8EJE926-3g/VevA3HbfA8I/AAAAAAAAUkI/QPXjwtF_MuI/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ymrro_vn-w/VevA78--CQI/AAAAAAAAUkw/kCuqp5uI9Bo/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-icDuyK_gJo8/VevA9KPIZ5I/AAAAAAAAUk4/H04xf1hoxM4/s640/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-H2FJoQIWk_I/VevA-7nflMI/AAAAAAAAUlE/cEDiz9f8FTY/s640/5.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Zaidi ya wananchi 3,000 Wilaya ya Ikungi Singida kunufaika na soko la asali chini ya mradi wa FU-DI kwa ufadhili wa UNDP
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk Parseko Kone akizungumza na wanavikundi 49 vya ufugaji wa Nyuki katika Wilaya ya Ikungi wakati wa uzinduzi wa mradi wa FU-DI na ugawaji wa mizinga ya Nyuki pamoja na vifaa.
Na Hillary Shoo, IKUNGI.
ZAIDI ya wananchi 3,000 watanufaika na soko la asali kupitia taasisi ya Kijamii ya fursa za kimaendeleo ‘Future Development Initiatives’ (Fu-DI) Mkoani Singida, kwa ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP).
Wakizungumza wakati wa hafla fupi ya...
10 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mbwembwe za Stand United
Stand United wakiingia uwanjani na katapila tayari kucheza na Yanga, mwenye shati la kitenge hapo mlagoni ni Mbunge wa Shinyanga mjini Mheshimiwa Stephen Masele ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini amekuwa bega kwa bega na timu ya Stand United.
9 years ago
TheCitizen30 Dec
Maguri to leave Stand United
9 years ago
Habarileo28 Oct
Ndanda FC waitisha Stand United
TIMU ya soka ya Ndanda FC ya Mtwara imesema kipigo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka kwa Azam Alhamisi wiki iliyopita kimewapa changamoto ya kujipanga vizuri zaidi kwa michezo ijayo ikianzia leo dhidi ya Stand United.
10 years ago
Mwananchi21 Jul
Liewig aibukia Stand United