Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Access Bank yazindua huduma

Benki ya Access imetangaza kuanza kutoa huduma za kibenki kwa njia ya simu ya mkononi kwa wateja wake nchini bure.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Maendeleo Bank yazindua huduma za bima

Maendeleo Bank imezindua huduma ya bima ikiwa ni lengo la kuwapatia wateja huduma zote muhimu chini  ya dari moja. Pia inachangia juhudi za serikali kuboresha na kufikisha elimu na huduma za bima kwa wananchi wengi ambao hawajafikiwa. Maendeleo Bank Insurance Agency imeanzishwa ili kuunga mkono mkakati wa Serikali wa huduma za kifedha jumuishi ambazo zitahamasisha wananchi wengi watumie na wafikiwe na huduma za kifedha ikiwa ni pamoja na bima.  Katika huduma za bima, Maendeleo Bank...

 

9 years ago

Michuzi

AMANA BANK YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Mteja wa muda mrefu wa bemki ya Amana Bw Masoud Khalfan (katikati) akizindua wiki ya huduma kwa wateja katika tawi la Main la benki ya Amana jijini Dar ka kukata utepe. Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa benki hiyo Dk Muhsin Masoud, Kulia ni mkuu wa idara ya masoko Bw Dassu Mohamed Mussa, kushoto ni mteja wa siku nyingi wa benki hiyo Bw Dossa. Mkuu wa idara ya masoko Bw Dassu Mussa kushoto akiwa na mkuu wa kitengo cha fedha Bw Fahad Hamid siku ya uzinduzi wa wiki ya huduma kwa wateja. 
Benki ya...

 

11 years ago

GPL

ACCESS BANK YAWAKARIBISHA KUPATA HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA


  Wafanyakazi wa Access Benki wakitoa maelekezo kwa mteja aliyetembelea katika banda lao namba nne lililoko katika maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.…

 

11 years ago

Michuzi

ACCESS BANK YAWAKARIBISHA MPATE HUDUMA ZAKE NDANI YA VIWANJA VYA SABA SABA JIJINI DAR

Mteja akipata maelezo ya Kina kutoka kwa wafanyakazi wa Access Bank katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya Mwl. Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni ya Channel 10, Meshack akifanya mahojiano na Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Muganyizi Bisheko na kueleza huduma wanazozitoa  katika banda lao lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa yanayofanyika katika viwanja vya...

 

11 years ago

Daily News

Access Bank supports Dar school


Access Bank supports Dar school
Daily News
ACCESS Bank has provided 10 sets of computers worth over 2m/- to Azania Secondary School in Dar es Salaam, as part of a programme to promote application of information Communication Technology (ICT) to secondary schools in the country. The school ...

 

11 years ago

Daily News

Access Bank provides computers to Dar school


Access Bank provides computers to Dar school
Daily News
ACCESS Bank has donated 13 computers worth 2m/- to Mchanganyiko Secondary School in Dar es Salaam, as part of its strategy to promote application of Information and Communication Technology (ICT) in schools. Speaking during the handing over ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yaipongeza Access Bank kufungua tawi lake jijini Mbeya

IMG_7927

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Abbas Kandoro akizungumza na wateja pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Access wakati alipokuwa mgeni rasmi katika sherehe za uzinduzi wa tawi la benki hiyo jijini Mbeya mwishoni wa wiki iliyopita. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Mhe. Dk. Norman Sigallah King na kutoka kushoto ni Ofisa Masoko Mwandamizi wa Access Bank, Jonas Muganyizi Bisheko, Meneja wa Mkoa wa Benki ya Access Mbeya, Emmanuel Venance na Mwakilishi wa Benki ya Access kutoka Makao makuu jijini Dar...

 

11 years ago

Dewji Blog

Access Bank watoa msaada wa Kompyuta kwa shule ya sekondari Azania

access 1  Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta Mkuu wa Shule ya Sekondari Azania, Mwl. Benald Ngonzie (kushoto), wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni wanafunzi wa shule hiyo. Benki hiyo jana ilitoa msaada wa kompyuta 10 kwa shule hiyo zenye thamani ya zaidi ya Sh2 milioni. aces

Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa...

 

10 years ago

Vijimambo

ACCESS BANK WATOA MISAADA KWA WAJASILIAMALI WAO WA MVUA YA MAWE MWAKATA

 Unga wa ugali kwa wateja wa Access Bank ambao walipata janga la mvua ya mawe katika kijiji cha mwakata vitu hivi vilitolewa kwa wateja wao walikuwa wakiishi katika kijiji hicho. Mafuta ya kupikia sabuni ,mchele unga wa sembe ,maharagwe ,Ndagaa ,kama jinsi vinavyonekana hapo Bank ya Access kwa ajili ya wajasilimali wao walipata majangaa ya mvua ya mawe.Meneja wa kanda ya ziwa prosper william mwenye suti akisalimia na wahanga wa mvua ya mawe ambapo wanajasilimali hao, mwenye tishet ni meneja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani