Maendeleo Bank yazindua huduma za bima
.jpg)
Maendeleo Bank imezindua huduma ya bima ikiwa ni lengo la kuwapatia wateja huduma zote muhimu chini ya dari moja. Pia inachangia juhudi za serikali kuboresha na kufikisha elimu na huduma za bima kwa wananchi wengi ambao hawajafikiwa. Maendeleo Bank Insurance Agency imeanzishwa ili kuunga mkono mkakati wa Serikali wa huduma za kifedha jumuishi ambazo zitahamasisha wananchi wengi watumie na wafikiwe na huduma za kifedha ikiwa ni pamoja na bima. Katika huduma za bima, Maendeleo Bank...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM BlogNMB YAZINDUA HUDUMA YA BIMA ITAKAYOPATIKANA MATAWI YAKE YOTE NCHINI
11 years ago
Michuzi.jpg)
Benki ya NBC yazindua Huduma ya Bima ya Bure ya Mkopo jijini Dar
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Access Bank yazindua huduma
9 years ago
MichuziAMANA BANK YAZINDUA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
Benki ya...
11 years ago
Michuzi
Bayport Yazindua Bima Ya Elimu

Bayport Financial Services, ambayo ni moja kati ya wakopeshaji akubwa kwa ajili ya wafanyakazi imezindua mpango wa bima kwa ajili ya elimu. Mfumo huo wa bima ni kwa...
11 years ago
Habarileo21 May
Tigo yazindua tamthilia ya bima
KAMPUNI ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo imezindua tamthilia mpya ya ‘Kinga ya moyo wangu’, kwa lengo la kuielimisha jamii juu ya masuala ya bima.
10 years ago
VijimamboCONVENANT BANK NA AAR KUANZISHA AKAUNTI YA BIMA YA AFYA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI
11 years ago
Dewji Blog21 May
Tigo yazindua Tamthilia ya Redio kuelimisha Umma kuhusu Bima
Meneja Mkuu wa Tigo Tanzania, Diego Gutierrez (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa tamthilia ya redio iitwayo ‘Kinga ya Moyo Wangu’ itakayoelimisha watanzania kuhusu umuhimu wa bima jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Meneja Mkazi wa Kampuni ya BIMA inayotoa huduma za bima kupitia simu za mkononi, Christian Karlander. Tamthilia hiyo itasikika katika vipindi vya Jahazi na Leo Tena vya Clouds FM.
Meneja Mkazi wa Kampuni inayotoa huduma za bima kupitia simu za...
10 years ago
Michuzi
Covenant Bank, AAR wazindua Bima ya Matibabu ya Tsh. 1000 kwa siku
