Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACHA TUUZE VITUMBUA KISHA TUKATUMBUE!

Oya masela vipi? Ama nini wazazi? Inakuwaje makachaa wangu? Kama kawa kama dawa kitaa hii ni supa kabisa yaani kutoka kwenye maganda yake. Ama nini? Kitaa hiyo barida? Kaa hapo upate hizi tamu arifu. Tudei bana ngoja nikisanue na sadi stori ya mtu wangu wa nguvu Luka. Jamaa alipokuwa na eji ya miaka bee tu, maza’ke alidedi aisee.
Bimkubwa alikuwa amezinguliwa na kansa foo meni yiazi na mwishowe alidanja. Lilikuwa pigo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Majambazi Bunda yaua muuza vitumbua kwa risasi

KALANGI 1Na Ahmed Makongo, Bunda

WAKAZI wa mji wa Bunda mkoani Mara hivi sasa wanaishi maisha ya hofu baada ya kundi la majambazi kuvamia na kumuua muuza vitumbua.

Tukio hilo lilitokea juzi saa 1:40 usiku na kusababisha taharuki kwa wananchi  ambao walilazimika kukimbia   kunusuru uhai wao.

Majambazi hayo yalivamia katika eneo    jirani na Benki ya NMB Tawi la Bunda na kufyatua risasi ambayo ilimuua kijana huyo.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, majambazi hayo pia  yalivamia katika vibanda vya...

 

10 years ago

Mwananchi

Juma Nature: Nyota aliyejisomesha kwa kuuza vitumbua, vyuma chakavu(4)

Wiki iliyopita Nature alielezea ujio wa kundi jipya la Wanaume Halisi baada ya kuvunjika kwa Kundi la Wanaume Family.

 

11 years ago

Mwananchi

JUMA NATURE: Nyota wa muziki aliyejisomesha kwa kuokota, kuuza vyuma chakavu na vitumbua

>Historia yoyote huwa na msingi wake. Uwe wa kitu au mtu, historia hujengeka kutokana na matukio iwe ya kusikitisha, kusisimua, kufariji hata kutia moyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wabakwa kisha kunyongwa India

Wasichana wawili wa kihindi waliopatikana wakiwa wananing'inia kwenye mti katika jimbo la Uttar Pradesh, walikuwa wamebakwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Achinja mpenzi wake kisha ajiua

MKAZI wa Kijiji cha Migori mkoani Iringa, Alex Sihayo (38) amemchinja kwa kumkata koromeo na kumua mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake kisha kujiua kwa kunywa sumu. Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

GPL

UNAPATA PESA KISHA UNAZITUMBUA BILA MALENGO, UTAFANIKIWAJE?

Ndugu zangu, maisha ya sasa yamekuwa yakitafsiriwa tofauti na kila mtu. Wapo wanaoeleza kuwa, maisha ni magumu, maisha ni yenye upendeleo na kuongeza kuwa maisha hayana haki.Wanaokuwa na dhana hizo potofu wanafikia hatua ya kukata tamaa kabisa ya maisha na kuridhika kuishi maisha yasiyo na mbele wala nyuma. Wapo watu huko mtaani ambao wana afya nzuri, nguvu za kutosha lakini wamekata tamaa ya maisha kiasi kuridhika kabisa kuishi...

 

10 years ago

Vijimambo

AMUUA MDENI WAKE NA KUMZIKA MWENYEWE KISHA KUHAMA NYUMBA

Hii stori inasikitisha sana wadau wa Vijimambo jinsi gani binadamu walivyokuwa wakatili umekopa anapokudai anaamua kuondoa uhai wake sina maelezo zaidi ya hiyo audio hapo chini bofya play usikilize mwenyewe ukatili huu wa binadamu si mnyama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani