UNAPATA PESA KISHA UNAZITUMBUA BILA MALENGO, UTAFANIKIWAJE?
![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zbhGpgl2pVmgUQAUrWPAHGQiYmUOpnmJamAvkjz2sHwxx-3n2FlUCELmVLNxSr-DEq2LmtLeukiV7O9i4KjBWQG/USD2Reuters.jpg?width=650)
Ndugu zangu, maisha ya sasa yamekuwa yakitafsiriwa tofauti na kila mtu. Wapo wanaoeleza kuwa, maisha ni magumu, maisha ni yenye upendeleo na kuongeza kuwa maisha hayana haki.Wanaokuwa na dhana hizo potofu wanafikia hatua ya kukata tamaa kabisa ya maisha na kuridhika kuishi maisha yasiyo na mbele wala nyuma. Wapo watu huko mtaani ambao wana afya nzuri, nguvu za kutosha lakini wamekata tamaa ya maisha kiasi kuridhika kabisa kuishi...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies14 Oct
Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Msikope bila kuwa na malengo-Ushauri
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Nauli bila pesa: Mfumo mpya Kenya
10 years ago
Vijimambo04 Oct
UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?
![](http://api.ning.com/files/zLSzH-96bg-u5273lvDsNZSzcae-D0mzyTu5mRa6b1LS3LOcdWrk27IrZlHbpW6-JnnWm*g2W4wYkSnEUQHj9cgBn9sTmNOL/KIONGERA1.jpg?width=650)
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
SAIKOLOJIA&UTAFITI: Utafanikiwaje wakati unaogopa kujaribu?
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
5 years ago
BBCSwahili23 Feb
Muziki genge nchini Kenya unapata umaarufu kulaumiwa kupotosha vijana
9 years ago
Bongo514 Dec
Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J
![MasterJ](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/MasterJ-300x194.jpg)
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.
Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.
“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...