Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNAPATA PESA KISHA UNAZITUMBUA BILA MALENGO, UTAFANIKIWAJE?

Ndugu zangu, maisha ya sasa yamekuwa yakitafsiriwa tofauti na kila mtu. Wapo wanaoeleza kuwa, maisha ni magumu, maisha ni yenye upendeleo na kuongeza kuwa maisha hayana haki.Wanaokuwa na dhana hizo potofu wanafikia hatua ya kukata tamaa kabisa ya maisha na kuridhika kuishi maisha yasiyo na mbele wala nyuma. Wapo watu huko mtaani ambao wana afya nzuri, nguvu za kutosha lakini wamekata tamaa ya maisha kiasi kuridhika kabisa kuishi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Rayuu Afunguka Kuhusu Wanaume Wanne Waliomfanyia Mbaya Kisha Kumtosa Bila Kumuoa

NYOTA wa filamu Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amesema anajihisi kama mwanamke mwenye mkosi baada ya wanaume wanne alioshiriki nao mapenzi kuonesha nia ya kumuoa, lakini ghafla waliingia mitini na kupeperusha ndoto yake ya kuwa mke wa mtu.     Akipiga stori na gazeti la uwazi, muigizaji huyo alisema umri wake unamruhusu kuolewa na anafanya kila njia ikiwa ni pamoja na kutii maelekezo yote ya mwanaume ili kumvutia aingie naye katika ndoa, lakini kinachomshangaza hubadilika ghafla na kumpotezea...

 

11 years ago

Mwananchi

Msikope bila kuwa na malengo-Ushauri

Wajasiriamali wa Kitanzania wameonywa dhidi ya tabia ya kuchukua mikopo bila kuwa na elimu ya kuendesha biashara zao, na badala yake wanapaswa kwanza kupata elimu ya ujasiriamali ili watumie vizuri mikopo hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nauli bila pesa: Mfumo mpya Kenya

Serikali nchini Kenya imeanzisha mfumo mpya wa kulipia nauli ya usafiri.

 

10 years ago

Vijimambo

UBABAISHAJI WA VIONGOZI WA TIMU ZA TANZANIA UNAWEZAJE KUMNUNUA MCHEZAJI KWA PESA NYINGI BILA KUPIMWA NA KUJUA KAMA ANATATIZO KABLA YA KUSAJILIWA?

Mchezaji wa timu ya Simba, Paul Raphael Kiongera.
Daktari huyo amesema kama Kiongera amekuwa na ugonjwa sugu wa goti, ni nadra kama atanusurika kufanyia upasuaji.
“Ugonjwa wa goti una mambo mengi, siwezi kusema kila kitu kwa kuwa majibu ya tatizo la Kiongera sijayaona.“Kama ni ugonjwa sugu, asilimia kubwa ni upasuaji na mara nyingi inakuwa ni nje ya nchi,” alisema daktari huyo bingwa.
“Lakini bado inawezekana hata hapa nyumbani ingawa mara nyingi watu hukwepa tu gharama lakini nje ni sahihi,”...

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Utafanikiwaje wakati unaogopa kujaribu?

>Unapozungumza na watu karibu wote duniani, kila mtu atakwambia ninachotaka ni kuwa na maisha bora.

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Muziki genge nchini Kenya unapata umaarufu kulaumiwa kupotosha vijana

Muziki wa genge nchini Kenya unaopendwa na vijana hasa kwa sauti zake zinazosikika nyakati za sherehe ni utamaduni unaopata umaarufu licha ya kukosolewa.

 

9 years ago

Bongo5

Kama unapata hela huna budi kuwekeza kwenye muziki wako – Master J

MasterJ

Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa MJ Records, Master J, amesema muziki wa Tanzania ulipofika ni wakati wa wasanii kujitambua na kwendana na wakati kuanzia kazi zao hadi muonekano kwa watu.

MasterJ

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita, Master J alisema ni vizuri msanii awe na timu itakayomsaidia kuboresha muziki wake.

“Unajua kama msanii ukishafika level fulani kwenye jamii au soko lolote, kwenye macho ya watu umekuwa kama brand tuseme,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani