Msikope bila kuwa na malengo-Ushauri
Wajasiriamali wa Kitanzania wameonywa dhidi ya tabia ya kuchukua mikopo bila kuwa na elimu ya kuendesha biashara zao, na badala yake wanapaswa kwanza kupata elimu ya ujasiriamali ili watumie vizuri mikopo hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UxG8FbEp4zbhGpgl2pVmgUQAUrWPAHGQiYmUOpnmJamAvkjz2sHwxx-3n2FlUCELmVLNxSr-DEq2LmtLeukiV7O9i4KjBWQG/USD2Reuters.jpg?width=650)
UNAPATA PESA KISHA UNAZITUMBUA BILA MALENGO, UTAFANIKIWAJE?
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Kuwa na malengo upate unachostahili
MAISHA huwa hayapendelei mtu, hakuna anayepata asichostahili katika dunia hii, kama ukipata kidogo ujue ndicho ulichokitafuta. Kwa kawaida hakuna kitu kinachokuja na kukupa mafanikio kama hujajishughulisha nacho. Bahati huja pale...
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
TANGO kuwa na mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja leo kujadili malengo ya SDGS
Meneja wa sera na ushirikishaji wa TANGO, Zaa Twalangeti, akizungumza na Modewjiblog kwenye mahojiano maalum yaliyofanyika katika ofisi za TANGO jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mratibu wa kitaifa wa Mtandao wa Asasi zisizo za kiserikali za haki za binadamu kusini mwa Afrika(SAHRINGON), Bi. Martina Kabisama.
Na Mwandishi wetu
ASASI isiyokuwa ya kiserikali ya TANGO imezindua kampeni kubwa ya kuelimisha umma wa Tanzania kuhusu malengo 17 ya maendeleo endelevu kwa lengo la kuyafanya kumilikiwa...
5 years ago
BBCSwahili24 Jun
Laiser Saniniu: Amezungumza na BBC kuhusu malengo yake baada ya kutambuliwa kuwa bilionea
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ShOjZAov1Vk/XlfXIrZARBI/AAAAAAACzlQ/_Fl5VNO_fOkySYF5BVCMHNaic0c4nx4IACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Nov
‘Kikwete alimnoa Magufuli kuwa Rais bila kujua’
RAIS mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli ametajwa kuwa mbegu bora ya uongozi iliyopandwa na Rais Jakaya Kikwete ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), bila viongozi hao wawili kujua.
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Diamond Platnumz: Bila Kiingereza huwezi kuwa wa kimataifa
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, amesema kuwa lugha ya Kiingereza ni lazima kwa msanii anayetaka kuwa wa kimataifa.
Diamond alipokuwa kwenye mahafali ya darasa la saba Shule ya Rightway, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, alisema
lugha hiyo ilimpa hofu wakati alipokuwa akitaka kufikia soko la kimataifa.
“Mwaka jana nilipata mwaliko wa kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother, Babu Tale, akaniambia baada ya onyesho nitafanyiwa...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
PROFESA ABOUD: Nimegundua njia za kulima bila kuwa na shamba
10 years ago
Raia Tanzania08 Jul
Bila kuchukua hatua thabiti shilingi itaendelea kuwa dhaifu
KUPOROMOKA kwa shilingi nchini dhidi ya dola ya Marekani ni tatizo linaloathiri uchumi wa nchi. Mwaka huu, thamani ya fedha imeshuka kwa wastani wa asilimia 20 ikilinganishwa na dola. Suala hili limejadiliwa sana na wadau mbalimbali, wakiwemo wabunge.
Sababu kadhaa zimetolewa na serikali, ambazo ni pamoja na; kuimarika kwa dola ya Marekani dhidi ya fedha nyingine duniani, jambo linaloelezwa kuwa limetokana na hali ya uchumi wa Marekani kuwa nzuri katika siku za karibuni; mapato ya nchi...