Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Laiser Saniniu: Amezungumza na BBC kuhusu malengo yake baada ya kutambuliwa kuwa bilionea

Mchimbaji mdogo wa madini Laiser Saniniu Amezungumza na BBC kuhusu malengo yake baada ya kutambuliwa kuwa bilionea.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Saniniu Laizer atambulika kuwa bilionea baada ya kupata mawe ya Tanzanite yenye thamani ya mabilioni ya shilingi

Mtanzania Saniniu Lazier ambaye ni mchimbaji madini mdogo amepata madini ya Tanzanite ambayo ya thamani ya bilioni 7.8.

 

5 years ago

Michuzi

MCHIMBAJI MDOGO WA MADINI YA TANZANITE KUTAMBULIWA RASMI KUWA BILIONEA BAADA YA KUPATA MAWE MAWILI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 7.8

Mawe makubwa mawili ya Tanzanite moja lina kilo 9.2 ambalo lina thamani ya shilingi bilioni 4.5 na la pili lina kilo 5.8 lenye thamani shilingi bilioni 3.3.Afisa Madini akionyesha moja ya jiwe la Tanzanite lilipatikana
 Katibu Mkuu Wizara ya Madini Profesa Simon Msanjila amesema  kuwa leo Wizara inamtabua Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite Bw. Saninniu Laizer kuwa bilionea baada ya kupata  mawe  makubwa mawili yenye thamani ya shilingi  bilioni 7.8. Katibu Mkuu amesema kuwa mchimbaji...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Afunguka Kuhusu Malengo ya Ndoa Yake Kukwama

Mrembo na mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameibuka na kuelezea  ni kwajinsi gani anavyo lichukulia swala la lengo lake alilojiwekea la  kuolewa mwaka 2014 kushindikana, kwa kusema kuwa imeshindikana lakini hajilaumu wala hamlaumu mtu yeyote kwa kutotimiza suala hilo kwani anaamini Mungu ndiye anayewezesha kila kitu.

Akizungumza na paparazi wa GPL hivi karibuni, Lulu alisema mwaka 2014 alikuwa na malengo mengi likiwemo suala la ndoa lakini kwa kuwa Mungu ndiye muweza, atapanga upya suala...

 

5 years ago

MillardAyo

Mtulia amezungumza baada ya kupiga Kura

Leo February 17, 2018 zoezi la kupiga kura katika uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kinondoni limeanza ambapo wananchi wanapiga kura kumchagu Mbunge wa Jimbo hilo. Katika zoezi hilo Mgombe a Ubunge kwa tiketi ya CCM Maulid Mtulia ameongea baada ya kupiga kura . Mtulia amesema atakubaliana na matokeo yoyote yatakayo tangazwa na Tume ya Uchaguzi […]

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kurudiana Kylie Jenner athibitisha kuwa ndoa yake na Tyga inakuja

West Hollywood, CA - Kylie Jenner is back with her boyfriend, Tyga, after a short break-up during his birthday. They were seen arriving together at The Nice Guy for Justin Bieber's party where Kylie leaned on Tyga's shoulder to get out of their limo bus.

MANDATORY CREDIT: Maciel/Roger/AKM-GSI
 
 AKM-GSI November 22, 2015
 
 To License These Photos, Please Contact :
 
 Steve Ginsburg
 (310) 505-8447
 (323) 423-9397
 steve@akmgsi.com
 sales@akmgsi.com
 
 or
 
 Maria Buda
 (917) 242-1505
 mbuda@akmgsi.com
 ginsburgspalyinc@gmail.com

Baada ya kudaiwa kuachana siku chache zilizopita, rapper Tyga na mrembo kutoka kwenye familia maarufu ya The Kardashians, Kylie Jenner walionekana pamoja baada ya tuzo za ‘American Music Awards’ Jumapili iliyopita, ikiashiria kuwa wamemaliza matatizo waliyokuwa nayo.

tyga-2

Tyga aliyekuwa amevaa suti ya blue pamoja na Kylie aliyekuwa amevaa kivazi cheupe walionekana wakiwa wameshikana mikono baada ya tuzo hizo.

tyga-4

Wakati wakipanda gari ili kuelekea kwenye after party ya Justin Bieber, paparazzi...

 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

11 years ago

GPL

MALI ZA BILIONEA ZAZUA TAFRANI BAADA YA KUFARIKI DUNIA

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
DUNIA haina huruma! Siku mbili baada ya kumzika mumewe ambaye alikuwa bilionea maarufu Dar, Amir Tabu, mjane wake, Mwanahamis Rajab ameingia kwenye tafrani kubwa na mashemeji zake kisa, mali za marehemu huku akitimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa akiishi na mumewe. Mjane, Mwanahamis Rajab alipokuwa na mume wake wakati wa harusi yao, Amir Tabu. Tukio hilo la kusikitisha lililoshuhudiwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kuwa na malengo upate unachostahili

MAISHA huwa hayapendelei mtu, hakuna anayepata asichostahili katika dunia hii, kama ukipata kidogo ujue ndicho ulichokitafuta. Kwa kawaida hakuna kitu kinachokuja na kukupa mafanikio kama hujajishughulisha nacho. Bahati huja pale...

 

10 years ago

Vijimambo

BILIONEA NIGERIA AMZIKA MAMA YAKE NDANI YA HUMMER

Bilionea Nigeria aliyeiwekea marembo gari la Humeer yenye thamani ya dola 1,000 na kumzika nayo mama yake katika mji wa Enugu nchini Nigeria.Gari la Hummer lililobeba mwili wa marehemu likiingizwa kaburini
Bilionea akimzika mama yake ndani ya gari la Hummer nchini Nigeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani