ACT- Wazalendo waja na siasa mpya
Na Mwandishi Wetu, Iringa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparence (ACT-Wazalendo), kimeibuka na mikakati mipya ikiwemo kuhamasisha kuanzisha kampeni maalumu ya kuwataka Watanzania kujiandikisha katika daftari la Kudumu la Wapiga kura kupitia mfumo wa elekroniki (BVR), kwa matangazo ya redio.
Hatua hiyo inaelezwa kuwa huenda ikabadili hali ya kisiasa ambapo vyama vingine vimekuwa vikitumia zaidi mikutano ya hadhara lakini chama hicho sasa kimebuni njia mpya ya kutangaza kupitia njia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 May
ACT-Wazalendo waja na Operesheni Majimaji
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetangaza operesheni Majimaji katika majimbo 59 yaliyopo katika mikoa 19 nchini ikiwa na lengo la kukiwezesha kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Rais wa Oktoba 25 mwaka huu.
Operesheni hiyo ni moja ya maazimio ya kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho iliyokutana Mei 23 na 24 mwaka huu chini ya Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira na kiongozi wake, Zitto Kabwe.
Taarifa iliyolewa jana na Ofisa Habari wa ACT Wazalendo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3lvkpMeytek/XveQcvPrrAI/AAAAAAALvsY/iteJnvQpk50OvS45ZeccR8ixxdkSzAUlwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A5119-2-768x518.jpg)
MJUMBE WA NEC TAIFA NA RAIS APOKEA MWANACHAMA MPYA KUTOKA ACT WAZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-3lvkpMeytek/XveQcvPrrAI/AAAAAAALvsY/iteJnvQpk50OvS45ZeccR8ixxdkSzAUlwCLcBGAsYHQ/s640/F87A5119-2-768x518.jpg)
Aliyekuwa mjumbe wa Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Samora Julius Mwanyonga, akirudisha kadi yake kwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na Chama cha...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
9 years ago
Mwananchi04 Oct
ACT Wazalendo kuimarisha kilimo
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo
10 years ago
TheCitizen27 Jul
Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says
9 years ago
Mwananchi01 Oct
ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano
9 years ago
TheCitizen19 Aug
ACT-Wazalendo yet to get Ikulu candidate
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Urais ACT — Wazalendo sarakasi tupu