Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT-Wazalendo waja na Operesheni Majimaji

ACTNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetangaza operesheni Majimaji katika majimbo 59 yaliyopo katika mikoa 19 nchini ikiwa na lengo la kukiwezesha kushinda katika Uchaguzi Mkuu wa udiwani, ubunge na Rais wa Oktoba 25 mwaka huu.
Operesheni hiyo ni moja ya maazimio ya kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho iliyokutana Mei 23 na 24 mwaka huu chini ya Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira na kiongozi wake, Zitto Kabwe.
Taarifa iliyolewa jana na Ofisa Habari wa ACT Wazalendo,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

ACT- Wazalendo waja na siasa mpya

Zitto-KabweNa Mwandishi Wetu, Iringa
CHAMA cha Alliance for Change and Transparence (ACT-Wazalendo), kimeibuka na mikakati mipya ikiwemo kuhamasisha kuanzisha kampeni maalumu ya kuwataka Watanzania kujiandikisha katika daftari la Kudumu la Wapiga kura kupitia mfumo wa elekroniki (BVR), kwa matangazo ya redio.
Hatua hiyo inaelezwa kuwa huenda ikabadili hali ya kisiasa ambapo vyama vingine vimekuwa vikitumia zaidi mikutano ya hadhara lakini chama hicho sasa kimebuni njia mpya ya kutangaza kupitia njia...

 

10 years ago

GPL

MWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO‏

 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu.   Mwenyekiti wa ACT-Tanzania,  Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...

 

9 years ago

TheCitizen

ACT-Wazalendo yet to get Ikulu candidate

The Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo) is holding internal meetings to appoint the party’s presidential flag-bearer for the October 25 General Election.

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo kuimarisha kilimo

Mgombea urais kupitia tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira amesema umaskini wa Mtanzania hauwezi kuondolewa kwa maneno, bali ni katika kutekeleza shughuli za kilimo.

 

9 years ago

Mwananchi

ACT Wazalendo: Muungano ni maridhiano

Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mghwira amesema suala la Muungano linataka maridhiano na siyo masharti ya kutoka upande wowote unaouunda.

 

9 years ago

Mwananchi

Siku 10 za kampeni za ACT-Wazalendo

Chama cha ACT-Wazalendo juzi kimehitimisha siku 10 za awamu ya kwanza kwa kutembelea mikoa minane ya Tanzania Bara, huku wakisisitiza kaulimbiu yao ya utu, uzalendo na uadilifu.

 

10 years ago

TheCitizen

Act-Wazalendo to go it alone in polls, Zitto says

Dar es Salaam. Opposition ACT-Wazalendo yesterday declared it will go into the October General Election alone, thus ending any chance that the party will join the coalition Ukawa that brings together other main opposition parties.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanachama CCM watimkia ACT- Wazalendo

Zaidi ya wanachama 100 kutoka CCM, Kata ya Chihanga, Manispaa ya Dodoma wamejiunga na ACT- Wazalendo.

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto awaonya viongozi ACT-Wazalendo

Zitto Kabwe-ACT Leader3Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameionya sekretarieti ya uongozi wa chama hicho na kuitaka kuishi kwa maadili kwa kuzingatia katiba ya chama na kuitekeleza kwa vitendo.
Amesema uadilifu umekuwa ni changamoto kubwa katika nchi hali inayowafanya watanzania washindwe kuaminiana katika masuala mbalimbali.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam juzi alipofungua mkutano wa kwanza wa sekretarieti ya uongozi wa chama hicho.
Alisema iwapo watashindwa kuishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani