Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ACT kutembelea mikoani

ACTNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kitaanza ziara katika mikoa mbalimbali nchini kuanzia wiki ijayo.
Tangu chama hicho kipate usajili wa kudumu kimekwisha kufanya uchaguzi mkuu ulioambatana na uzinduzi, Machi 28 na 29.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa ACT, Anna Mghwira alisema Kamati Kuu ya chama hicho imeazimia kuanza ziara ya chama katika mikoa ya Ruvuma, Njombe, Iringa, Morogoro, Dodoma,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Bongo5

Sauti Sol waibuka ‘Best African Act’ wa MTV EMA, sasa kuwania ‘Worldwide Act’

Kundi la Sauti Sol la Kenya limewabwaga Diamond, Davido na wasanii wengine wawili wa Afrika katika kipengele cha ‘Best African Act’ cha tuzo za MTV EMA. Hata hivyo huo sio mwisho kwakuwa Sauti Sol sasa watahitaji kura za bara zima la Afrika kuwania kipengele cha ‘Worldwide Act’ Kuanzia leo, October 23, hadi 29 October wasanii […]

 

9 years ago

TheCitizen

PCCB must act,not pledge it will act on corruption

Remarks made in Mbeya by Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) boss, Dr Edward Hosea, that the anti-corruption agency will deal with corrupt politicians after General Election are unfortunate. Unfortunate, because it means, some corrupt politicians have been let loose to contest and Tanzanians could unwittingly elect people who used dirty methods to win a ticket to contest the polls.

 

10 years ago

TZToday

Habari za Mikoani

Habari za Mikoani

 

10 years ago

Michuzi

Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY. --Ndugu wanahabari kumekuwa na utaratibu wa habari zinazoupotosha umma wa watanzania kuhusu chama chetu cha ACT-Tanzania.
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpoto ajivunia ziara mikoani

MSANII wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto, amesema albamu yake ya ‘Waite’ imekuwa ikifanya vizuri sokoni hasa kupitia ziara yake katika mikoa mbalimbali kwani hadi sasa ameweza kuuza nakala...

 

10 years ago

Mwananchi

Nauli za mabasi mikoani zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepunguza nauli za mabasi ya mikoani huku ikitangaza kubaki kama zilivyokuwa, zile za daladala baada ya ukokotoaji wake kuonyesha tofauti ndogo ya punguzo kulinganisha na viwango vya sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAA kuboresha viwanja mikoani

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA), imesema itaendelea kuboresha viwanja vya ndege vilivyoko mikoani, ili kila mwananchi aweze kutumia usafiri huo. Ofisa Sheria na Mahusiano wa mamlaka hiyo, Nuru Nyoni,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani