Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Habari za Mikoani

Habari za Mikoani

TZToday

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

ACT kutembelea mikoani

ACTNa Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kitaanza ziara katika mikoa mbalimbali nchini kuanzia wiki ijayo.
Tangu chama hicho kipate usajili wa kudumu kimekwisha kufanya uchaguzi mkuu ulioambatana na uzinduzi, Machi 28 na 29.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa ACT, Anna Mghwira alisema Kamati Kuu ya chama hicho imeazimia kuanza ziara ya chama katika mikoa ya Ruvuma, Njombe, Iringa, Morogoro, Dodoma,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prodyuza: Vipaji mikoani havithaminiwi

IMEELEZWA kuwa licha ya wasanii wengi wa mikoani kuwa na vipaji vya kuimba, lakini hawathaminiwi katika kazi zao. Hayo yalisemwa jana na prodyuza Abdulaziz Issa ‘EiZER BiTZ’ wa mkoani Tabora,...

 

10 years ago

Michuzi

taswira mbalimbali kutoka mikoani


Vijana wakitoka kukata nyasi kwa ajili ya mifugo huko Kaliua mkoani Tabora ikiwa ni sehemu ya biashara yao 
Kijana Ephrahim Maksoni akipita  juu ya reli kwa  baiskeli maeneo ya Nguruka Mkoani KigonaAbiria wakiteremka toka ndani ya Basi la Saratola likitokea Nguruka kwenye kituo kipya cha mabasi kilichopo Masanga Gungu mkoani kigoma
 Wafanya biashara wa chumvi wakiwauzia abiria waliokuwa wakisafiri na basi lililokuwa likitoka Nguruka kuelekea Kigoma  Wakichota maji eneo  katika kituo cha mabasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mpoto ajivunia ziara mikoani

MSANII wa muziki wa asili nchini, Mrisho Mpoto, amesema albamu yake ya ‘Waite’ imekuwa ikifanya vizuri sokoni hasa kupitia ziara yake katika mikoa mbalimbali kwani hadi sasa ameweza kuuza nakala...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAA kuboresha viwanja mikoani

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege (TAA), imesema itaendelea kuboresha viwanja vya ndege vilivyoko mikoani, ili kila mwananchi aweze kutumia usafiri huo. Ofisa Sheria na Mahusiano wa mamlaka hiyo, Nuru Nyoni,...

 

10 years ago

Mwananchi

Nauli za mabasi mikoani zashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imepunguza nauli za mabasi ya mikoani huku ikitangaza kubaki kama zilivyokuwa, zile za daladala baada ya ukokotoaji wake kuonyesha tofauti ndogo ya punguzo kulinganisha na viwango vya sasa.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra kubana mabasi ya mikoani

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi kavu na Majini (Sumatra) imebaini baadhi ya mabasi yaendayo mikoani, yameondoa orodha ya namba za simu zilizobandikwa na hivyo kuagiza kufikia leo, ziwe zimebandikwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA sasa kuingia mikoani

HARAKATI za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), za kuizuia CCM isihodhi mchakato wa uandikaji wa Katiba  sasa zimechukua sura mpya ya kufanya mikutano ya hadhara mikoani. Awali UKAWA walikuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani