Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adele turned down millions to record Spectre song

Adele reportedly turned down millions to record the Spectre theme song. The Grammy Award-winning artist – who co-wrote and sung the soundtrack for Skyfall in 2012 – didn’t reprise her singing duties for the forthcoming James Bond movie because it would be hard to beat her global smash, despite being the top choice of Daniel […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Song: Pipi – Hello (Adele Cover)

PIPI COVER

Msanii wa Bongo fleva Pipi amewapa mashabiki wake zawadi ya mwaka mpya kwa kufanya Cover ya wimbo wa Adele unaitwa “Hello” Produced by Valentino and Sifa.. Enjoy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ yaweka rekodi mpya ya ‘Guinness World Record’

James Bond-1

Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imeweka rekodi mpya ya Guinness World Record kwa kuwa filamu yenye mlipuko mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya filamu (Largest Film Stunt Explosion).

James Bond-1

Waigizaji Daniel Craig, Léa Seydoux na producer Barbara Broccoli wa filamu hiyo hivi karibuni walikabidhiwa official Guinness World Records certificate baada ya filamu hiyo kuvunja rekodi hiyo.

Mlipuko huo ambao ulitengenezewa Erfoud, Morocco ulifanikishwa kwa kutumia lita 8,418 za mafuta ya taa,...

 

5 years ago

IMore

Slack breaks user record as millions work from home

Slack breaks user record as millions work from home  iMore

 

5 years ago

TownandCountrymag.Com

Watch Prince Harry Record a Song Jon Bon Jovi at Abbey Road Studios

Watch Prince Harry Record a Song Jon Bon Jovi at Abbey Road Studios  TownandCountrymag.comPrince Harry meets Jon Bon Jovi at Abbey Road Studios  BBC NewsInside Prince Harry and Bon Jovi’s Abbey Road Recording Session  Vanity FairWhy Harry and Meghan must heal rift with Queen – Jayne Dowle  Yorkshire PostJon Bon Jovi Says That Prince Harry Seems Like He's Doing "Awesome"  TownandCountrymag.comView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Bongo5

Video: Sam Smith — Writing’s On The Wall (from Spectre)

Msanii wa Pop kutoka Uingereza Sam Smith… Adele alishawahi kutoa wimbo ambao ulitumika kama soundtrack kwenye movie ya 007 James Bond mwaka 2012, na safari hii. Sam Smith ametoa wimbo unaitwa ‘Writing’s on the Wall’ ambao ndo official soundtrack kwenye movie ya James Bond ‘Spectre’ inayotegemea kutoka tarehe 6 November mwaka huu single hii ipo […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Filamu ya Stars Wars ilivuma kushinda Spectre

Filamu mpya ya Star Wars ya The Force Awakens ndiyo iliyovuma zaidi Uingereza mwaka 2015, licha ya kuwa sokoni siku 16 pekee.

 

9 years ago

Michuzi

Party ya uzinduzi wa filamu ya James Bond, Spectre ilivyofana

Na Mwandishi Wetu
WATU mbalimbali walihudhuria hafla ya uzinduzi wa filamu ya Spectre ya  James Bond iliyofanyika Cape Town Fish Market chini ya udhamini wa Belvedere Vodka, Heineken, Jaguar pamoja na Land Rover.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, mwakilishi wa kampuni ya QWAY International inayosambaza  kinywaji cha Belvedere Vodka,Tanya Mulamula alisema hafla hiyo inalenga kuwakutanisha wadau na kuifurahia filamu hiyo, ikiwa siku moja kabla ya uzinduzi wake.
Filamu ya...

 

9 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya James Bond, Spectre yazinduliwa Dar

JA6ud

Mastaa mbalimbali nchini mwishoni mwa wiki hii walijumuika katika uzinduzi wa filamu mpya ya James Bond, Spectre uliofanyika Cape Town Fish Market jijini Dar es Salaam.

JA6ud

Uzinduzi wa filamu hiyo iliyoigizwa na muigizaji wa Uingereza Daniel Craig kama James Bond, uliratibiwa na kampuni ya QWAY International.

Pamoja na Fish Market, filamu hiyo ilizinduliwa kwenye majumba mengine ya sinema nchini na duniani kote.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo mwakilishi wa kampuni ya...

 

10 years ago

TheCitizen

COCKS: Nigeria election tensions raise spectre of break-up

>As Nigeria approaches its most divisive and closely fought election since the end of military rule in 1999, its leaders are having to reassure voters that Africa’s most populous nation will remain in one piece.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani