Song: Pipi – Hello (Adele Cover)
Msanii wa Bongo fleva Pipi amewapa mashabiki wake zawadi ya mwaka mpya kwa kufanya Cover ya wimbo wa Adele unaitwa “Hello” Produced by Valentino and Sifa.. Enjoy.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo518 Dec
New Video: Jors Bless – Hello (Adele cover )
![Jors Bless](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Jors-Bless-300x194.jpg)
Video ya producer na muimbaji wa R&B, Jors Bless akiimba wimbo wa Adele, Hello.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo526 Sep
Adele turned down millions to record Spectre song
9 years ago
Bongo507 Nov
Video: Joe Thomas afanya cover ya wimbo mpya wa Adele ‘Hello’
![Joe](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Joe-300x194.jpg)
Inawezekana umeshakutana na ‘cover’ kadhaa za hit song mpya ya Adele ‘Hello’, ambayo imevunja rekodi mbalimbali toka ilipotoka October 23. Mwimbaji mkongwe wa RnB Joe Thomas wa Marekani naye amefanya cover ya wimbo huo, isikilize hapa.
Maana ya ‘cover song’:
In popular music, a cover version or cover song, or simply cover, is a new performance or recording of a previously recorded, commercially released song by someone other than the original artist or composer.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo516 Dec
Audio: Jors Bless afanya cover ya ‘Hello’ ya Adele, ni noma
![hello cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/hello-cover-300x194.jpg)
Zimetoka cover maelfu za wimbo wa Adele, Hello. Jors Bless anakuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kufanya cover yake. Isikilize hapo chini.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo524 Dec
Kenya: Kosa la Jimmy Gait kwenye cover ya Hello ya Adele ni lipi?
![12317373_1540701262917454_1836197456_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12317373_1540701262917454_1836197456_n-300x194.jpg)
Tangu Adele ameachia wimbo wake Hello, kuna utitiri wa kava za wasanii kwenye mtandao wa Youtube. Kila mmoja amejaribu kuuimba wimbo huo kwa manjonjo yake wenyewe.
Wapo waliosifiwa kwa kuuimba vizuri kama Joe Thomas na Dela wa Kenya. Version ya Dela imefika mbali zaidi kwakuwa ametumia Kiswahili. Na pengine cover hiyo imefanya vizuri zaidi kuliko hata nyimbo zake mwenyewe.
Lakini pia wapo walioshindwa kuyafurahisha masikio ya wasikilizaji aidha kwa kuimba chini ya kiwango au kwa...
9 years ago
Bongo511 Dec
Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’
![adele_two](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/adele_two-300x194.jpg)
Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.
Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.
“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...
9 years ago
Bongo517 Nov
Music: Hizi ni cover 2 za wimbo wa Adele ‘Hello’ zilizofanywa na wasanii wa Nigeria
![adele-25-cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-25-cover-300x194.jpg)
Zimebaki siku 5 hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele itimize mwezi mmoja toka ulipotoka Oct. 23. Wanamuziki kutoka sehemu mbalimbali duniani wamejitokeza kufanya cover za wimbo huo.
Ukiacha kina Joe Thomas, Alaine, Demi Lovato na wengine ambao wamefanya cover ya ‘Hello’, wapo wasanii kutoka Afrika ambao wamefanya cover ya ‘Hello’.
Sikiliza na tazama cover version ya muimbaji wa RnB Praiz ambaye alishinda tuzo ya Afrima ‘Best African R&B/Soul Artiste’ pamoja na Omawumi wote kutoka...
11 years ago
GPL02 Aug
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-7jUmHmPrzj3D2zWI*f*O5XsbLp2gc87FvmqgpZQRe5TNSlxVerRpbN3gmvn*PgtO878mh7SHWdBUuSkr4YPARq/1pipi_doreen.jpg)
PIPI NA ‘UBIZE’ WA KUIJAZA DUNIA!