Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Song: Pipi – Hello (Adele Cover)

PIPI COVER

Msanii wa Bongo fleva Pipi amewapa mashabiki wake zawadi ya mwaka mpya kwa kufanya Cover ya wimbo wa Adele unaitwa “Hello” Produced by Valentino and Sifa.. Enjoy.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Video: Jors Bless – Hello (Adele cover )

Jors Bless

Video ya producer na muimbaji wa R&B, Jors Bless akiimba wimbo wa Adele, Hello.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Adele turned down millions to record Spectre song

Adele reportedly turned down millions to record the Spectre theme song. The Grammy Award-winning artist – who co-wrote and sung the soundtrack for Skyfall in 2012 – didn’t reprise her singing duties for the forthcoming James Bond movie because it would be hard to beat her global smash, despite being the top choice of Daniel […]

 

9 years ago

Bongo5

Video: Joe Thomas afanya cover ya wimbo mpya wa Adele ‘Hello’

Joe

Inawezekana umeshakutana na ‘cover’ kadhaa za hit song mpya ya Adele ‘Hello’, ambayo imevunja rekodi mbalimbali toka ilipotoka October 23. Mwimbaji mkongwe wa RnB Joe Thomas wa Marekani naye amefanya cover ya wimbo huo, isikilize hapa.

Maana ya ‘cover song’:

In popular music, a cover version or cover song, or simply cover, is a new performance or recording of a previously recorded, commercially released song by someone other than the original artist or composer.

Jiunge na Bongo5.com...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Jors Bless afanya cover ya ‘Hello’ ya Adele, ni noma

hello cover

Zimetoka cover maelfu za wimbo wa Adele, Hello. Jors Bless anakuwa msanii wa kwanza kutoka Tanzania kufanya cover yake. Isikilize hapo chini.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Kenya: Kosa la Jimmy Gait kwenye cover ya Hello ya Adele ni lipi?

12317373_1540701262917454_1836197456_n

Tangu Adele ameachia wimbo wake Hello, kuna utitiri wa kava za wasanii kwenye mtandao wa Youtube. Kila mmoja amejaribu kuuimba wimbo huo kwa manjonjo yake wenyewe.

Wapo waliosifiwa kwa kuuimba vizuri kama Joe Thomas na Dela wa Kenya. Version ya Dela imefika mbali zaidi kwakuwa ametumia Kiswahili. Na pengine cover hiyo imefanya vizuri zaidi kuliko hata nyimbo zake mwenyewe.

Lakini pia wapo walioshindwa kuyafurahisha masikio ya wasikilizaji aidha kwa kuimba chini ya kiwango au kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Dela wa ‘Asante’ ya AY afanya cover ya Kiswahili ya wimbo wa Adele ‘Hello’

adele_two

Zimeshafanyika cover za kila aina za wimbo maarufu wa Adele ‘Hello’ uliopo kwenye albamu yake mpya 25.

Na sasa muimbaji wa Kenya, Dela aliyewahi kushirikishwa na AY kwenye wimbo wake Asante, amekuja na cover ya Kiswahili ya wimbo huo and it’s fire.

“Hello! It was wonderful translating this amazing song by Adele. Thanks a million to Sauti Sol’s @Fancyfingers1 the much talented Benjamin Webi and Andrew Wanjohi. We got goosebumps producing this.
I hope you do, too,” ameandika...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Hizi ni cover 2 za wimbo wa Adele ‘Hello’ zilizofanywa na wasanii wa Nigeria

adele-25-cover

Zimebaki siku 5 hit song ya muimbaji wa Uingereza, Adele itimize mwezi mmoja toka ulipotoka Oct. 23. Wanamuziki kutoka sehemu mbalimbali duniani wamejitokeza kufanya cover za wimbo huo.

adele-25-cover

Ukiacha kina Joe Thomas, Alaine, Demi Lovato na wengine ambao wamefanya cover ya ‘Hello’, wapo wasanii kutoka Afrika ambao wamefanya cover ya ‘Hello’.

Sikiliza na tazama cover version ya muimbaji wa RnB Praiz ambaye alishinda tuzo ya Afrima ‘Best African R&B/Soul Artiste’ pamoja na Omawumi wote kutoka...

 

11 years ago

GPL

PIPI NA ‘UBIZE’ WA KUIJAZA DUNIA!

Doreen Ponera ‘Pipi’. Na Gladness Mallya
MSEMO wa ‘Enendeni mkaijaze duni’ umekuwa na maana kubwa kwa msanii wa  muziki wa kizazi kipya Bongo, Doreen Ponera ‘Pipi’ ambapo amezidi kuongeza  familia kwa kujifungua mtoto wa pili wa kiume. ‘AKimng’ata sikio’ mwandishi wetu  mwanzoni mwa wiki hii, rafiki wa karibu na msanii huyo (jina tunalo) alisema Pipi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani