Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AECF YAZINDUA AWAMU YA NNE YA DIRISHA LA UFADHILI WA KILIMO BIASHARA HAPA NCHINI.

Mkurugenzi wa The African Enterprise Challenge Fund (AECF), Hugh Scott akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na uzinduzi wa awamu ya nne ya dirisha la ufadhili wa kilimo cha biashara maalum kwaajili ya watanzania hapa nchini.Afisa mkuu wa usimamizi, Sam Ng'ang'a akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kushoto ni Mkurugenzi wa The African Enterprise Challenge Fund (AECF), Hugh Scott.
Mkurugenzi wa kampuni ya Internation Tan Feed...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

AECF yapokea Bilioni 17 kuwezesha shindano la kilimo cha biashara

Mkurugenzi wa Mfuko wa Sekta Binafsi AECF, Hugh Scott akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo wakati akizungumzia shindano litakaloshirikisha kampuni za Tanzania zinazojishughulisha na shughuli za kilimo na biashara ambalo litafanyika hapa nchini, shirika hilo linalojishughulisha na mikopo ya shughuli za kilimo na biashara hapa nchini Tanzania.

Mkuu wa Huduma za Shirika la AECF, Bw.Sam Sang’ang’a  akizungumzia kuhusu mashindao yatakavyofanyika katika...

 

11 years ago

Michuzi

HEINEKEN YAZINDUA MICHUANO YA FOOSBALL KWA MARA NYINGINE TENA HAPA NCHINI

Mkurugenzi wa Heineken Tanzania Bw. Uche Unigwe akizungumza wakati wa uzinduzi wa Mchezo wa foosball katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia kwake wamesimama washindi kutoka michuano ya mwaka jana waliopata nafasi ya kwenda Amsterdam.

 

11 years ago

Mwananchi

WTZ wahamasishwa kusaka ufadhili kilimo

Watanzania wenye mawazo ya biashara katika sekta ya kilimo wamehamasishwa kushiriki shindano la awamu ya tatu ya dirisha la ufadhili wa kilimo cha biashara, kuendeleza sekta hiyo inayowagusa wengi hasa vijijini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Awamu ya nne imelisumu taifa!

RAIS wangu awamu ya nne ikiendelea kushupaza shingo na kujifanya kichwa ngumu kisicho na masikio, kitakachojiri si kingine bali utimilifu wa maandiko, “Kilichoingia kwa hila kitaondoka kwa hila!” Awamu ya...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda: Awamu ya Nne imefanikiwa

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameelezea mafanikio makubwa yaliyofanywa na Serikali ya Awamu ya Nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete, ikiwa ni pamoja na ujenzi wa barabara, usambazaji wa nishati vijijini, uboreshaji wa huduma za jamii pamoja na utoaji wa mikopo kwa wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Serikali ya awamu ya nne kumaliza vibaya’

Wakati Serikali ya Awamu ya Nne imebakiza takriban mwaka mmoja kuondoka madarakani, sifa ya Tanzania kwenye jumuiya ya kimataifa imeendelea kutiwa doa kutokana na kuhusishwa na ongezeko la ufisadi wa mabilioni ya fedha za umma na ujangili.

 

11 years ago

Habarileo

Awamu ya nne JKT yakosa vijana

AWAMU ya nne ya mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa wahitimu wa Kidato cha Sita iliyokuwa ianze mwanzoni mwa mwaka huu, imekosa vijana kutokana na wengi wao kujiunga na vyuo vya elimu ya juu ambavyo muhula wake umeanza Oktoba mwaka jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne

Ndugu wasomaji wangu leo nikiwa hapa hapa Tanzania baada ya mwaka wa 2014 kugeuka na sasa tuko 2015, ni mwaka ambao kwanza kwa maombi yangu na kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu tuliouona mwaka 2015 tujiandae kwa mengi makubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani