Afariki akizuia gari zisikanyage maiti
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam juzi akiwamo Emmanuel Ndahani (39) mkazi wa Kibamba, aliyegongwa na gari na kufariki dunia alipokuwa akiweka alama za matawi kuzuia gari zisikanyage...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo17 Aug
Gari lenye maiti 10 laua ‘bodaboda’, abiria
DEREVA wa bodaboda na abiria wake wamekufa papo hapo baada ya kugongwa na gari lililobeba maiti 10 zilizotolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
11 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-ldvENWuoabo/UrvPGm4t29I/AAAAAAAAnZc/IyO96HYhnRc/s640/1.png?width=640)
GARI LAKAMATWA LIKIWA LIMEBEBA MAITI YENYE DAWA ZA KULEVYA MKOANI MOROGORO
Kamanda wa Polisi Mkoani Morogoro,Faustine Shilogile akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Hizi ndio baadhi ya Pipi zilitolewa tumboni mwa Marehemu Khalid Kitala. …
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Trafiki aliyegongwa na gari afariki dunia
Aligongwa na daladala linalofanya safari zake kati ya Temeke na Kongowe alipokuwa akiyaongoza magari.
10 years ago
CloudsFM20 Nov
AFARIKI AKIFANYA MAPENZI KWENYE GARI
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe alisema Mtensa, ambaye alikuwa na mpenzi wake kwenye gari maeneo ya Buyekera, alifariki dunia kabla ya kufikishwa kituo cha afya cha ELCT Ndolage.
Alisema binti waliyekuwa naye kwenye gari anatokea mkoani Mara na kwamba tukio hilo lilitokea usiku wa...
11 years ago
BBCSwahili14 Aug
Afariki baada ya kukanyagwa na gari la mamake
Mtoto mwenye umri wa miaka sita amefariki baada ya kukanywagwa na gari la mamake aliyekuwa analiegesha mjini London
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Mchungaji Mtikila afariki kwa ajali ya gari Chalinze
Mwanasiasa mkongwe na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila amefariki dunia leo alfajiri kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Msolwa, Chalinze, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jaffar Mohamed amethibitisha.
11 years ago
Michuzi16 Jul
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MOMBA.
MTU MMOJA ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA BAKARI DAMSON(27) MKAZI WA MAJENGO AMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI ADC 3671 AINA YA TOYOTA LAND CRUISER LILILOKUWA LIKIENDESHWA NA DEREVA FRANK MATHEW SIKONGA (29) MKAZI WA CHIPAKA.
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 15.07.2014MAJIRA YA SAA 22:00 USIKU HUKO KATIKA MTAA WA MWAKA, KATA NA TARAFA YA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA. CHANZO CHA AJALI BADO KINACHUNGUZWA. MWILI WA MAREHEMU UMEHIFADHIWA KITUO CHA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXw2yC3sq0IIR00Ad6ZnkHlC8PYv5WLR*gP2FpZbyQ09GfZG3PBDgZrEZjIQDzcCFjjicRy45ERx3cSNg0w6-GUT/kamandadiwanathuman.jpg)
MTU MMOJA AFARIKI DUNIA BAADA YA KUGONGWA NA GARI WILAYANI MBARALI
MTEMBEA KWA MIGUU ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA JOFREY MWIDINDA (28) MKAZI MBUYUNI AMEFARIKI DUNIA PAPO HAPO BAADA YA KUGONGWA NA GARI LENYE NAMBA ZA USAJILI IT 3818 AINA YA TOYOTA COROLA LILILOKUWA LIKIENDESHWANA FRANK NDEGA (30) MKAZI WA SINZA JIJINI DSM. TUKIO HILO LIMETOKEA MNAMO TAREHE 30.04.2014 MAJIRA YA SAA 06:30 ASUBUHI HUKO KATIKA KIJIJI CHA MBUYUNI, KATA YA MAPOGORO, TARAFA YA RUJEWA, WILAYA YA MBARALI, MKOA WA MBEYA...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania