AFCON:Mzunguko wa kwanza wakamilika
Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika,zinaendelea nchini Equatorial Guinea zilikamilisha mzunguko wa kwanza kwa timu zote 16.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mzunguko wa Lala salama
Baada ya kuwa katika mapumziko ya takribani miezi mitatu, Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo inaingia katika mzunguko wa pili wa lala salama, ambapo nyasi za viwanja vinne zitahitaji maji ili kuzima moto wa timu nane zitakazoshuka dimbani kukwaana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxih-zJTWuSKAhIRsg*b5b7mj9rUp0i0s6jdgZ8UP41tDeeQf-plLGdLzH9m5nT2vggU5cp55J8iab8WmFMZ8stw/SIMBANAYANGA13.jpg?width=650)
MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI
Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi (Januari 26 mwaka huu) kwa mechi tano katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam, Tanga wakati mechi ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting inahamishiwa uwanja mwingine. Ashanti United itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Coastal Union itacheza na Oljoro JKT katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam...
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
Kimbunga chenye mzunguko tofauti
Je, kimbunga hicho huzunguka upande upi? vimbunga vingi vya eneo la kaskazini huzunguka kulia kushoto katika mji wa Colorado
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6gJB0sDGqEu2bR8RcSDFc8MaWcAJmFyPTZcNLzsrAsEU-TxYJMF5xNr6nYkGwIoeHd6SC57Ta2Je4*2rz0LPat/HEDHI.jpg?width=650)
KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI
Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneo makuu mawili. Kuna ule unaopevusha mayai ‘Ovulatory Cycle’ na usiopevusha mayai ‘Anovulatory Cycle’. Aina hizi za mizunguko tutakuja kuziona kwa undani katika makala zijazo, lakini mzunguko unaopevusha mayai mwanamke anapata ute wa uzazi ambao unavutika na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko usiopevusha mayai mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa katika ...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mzunguko wa nne kombe la FA hadharani
Droo ya kupanga mechi za raundi ya nne ya Kombe la FA imefanyika
10 years ago
GPL9 years ago
Mwananchi09 Nov
Tunataka tiketi za kielektroniki mzunguko wa pili wa ligi
Mwanzoni mwa mwaka jana Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) lilisitisha matumizi ya tiketi za kielektroniki kwenye viwanja vyote vinavyotumika kwa mechi za Ligi Kuu Bara mpaka itakapotolewa taarifa nyingine.
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Tunatarajia haki zaidi mzunguko wa pili wa ligi
Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara unaanza kesho kwenye viwanja tofauti baada ya ligi hiyo kupumzika kwa taribani miezi mitatu kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa mwaka.
11 years ago
Mwananchi20 Jan
TFF kuweni makini mzunguko wa pili wa ligi
Mzunguko wa pili na mwisho wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2013/14 unaanza Jumamosi ijayo kwa timu mbalimbali kushuka viwanjani kuwania pointi tatu muhimu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania