Kimbunga chenye mzunguko tofauti
Je, kimbunga hicho huzunguka upande upi? vimbunga vingi vya eneo la kaskazini huzunguka kulia kushoto katika mji wa Colorado
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Mzunguko wa Lala salama
Baada ya kuwa katika mapumziko ya takribani miezi mitatu, Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo inaingia katika mzunguko wa pili wa lala salama, ambapo nyasi za viwanja vinne zitahitaji maji ili kuzima moto wa timu nane zitakazoshuka dimbani kukwaana.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6gJB0sDGqEu2bR8RcSDFc8MaWcAJmFyPTZcNLzsrAsEU-TxYJMF5xNr6nYkGwIoeHd6SC57Ta2Je4*2rz0LPat/HEDHI.jpg?width=650)
KUVURUGIKA KWA MZUNGUKO WA HEDHI
Mzunguko wa hedhi umegawanyika katika maeneo makuu mawili. Kuna ule unaopevusha mayai ‘Ovulatory Cycle’ na usiopevusha mayai ‘Anovulatory Cycle’. Aina hizi za mizunguko tutakuja kuziona kwa undani katika makala zijazo, lakini mzunguko unaopevusha mayai mwanamke anapata ute wa uzazi ambao unavutika na anaweza kupata ujauzito. Mzunguko usiopevusha mayai mwanamke hawezi kupata ujauzito ingawa katika ...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mzunguko wa nne kombe la FA hadharani
Droo ya kupanga mechi za raundi ya nne ya Kombe la FA imefanyika
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
AFCON:Mzunguko wa kwanza wakamilika
Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika,zinaendelea nchini Equatorial Guinea zilikamilisha mzunguko wa kwanza kwa timu zote 16.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gp85O2XzVxih-zJTWuSKAhIRsg*b5b7mj9rUp0i0s6jdgZ8UP41tDeeQf-plLGdLzH9m5nT2vggU5cp55J8iab8WmFMZ8stw/SIMBANAYANGA13.jpg?width=650)
MZUNGUKO WA VPL KUANZA JUMAMOSI
Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi (Januari 26 mwaka huu) kwa mechi tano katika miji ya Bukoba, Dar es Salaam, Tanga wakati mechi ya Tanzania Prisons na Ruvu Shooting inahamishiwa uwanja mwingine. Ashanti United itacheza na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa, Coastal Union itacheza na Oljoro JKT katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga wakati Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam...
10 years ago
GPL11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbIP0ZEp5s39I0DBJx3juXykGguAgBAtn6bvnx0bspb7muDggfrjj0BVeHkmfQMgJIZpIFhObilfaUjtGc6jRAg/soya.jpg?width=650)
SOYA: CHAKULA CHENYE KINGA NA TIBA
Mpendwa msomaji. Bado tupo katika kudadavua faida za kiafya zitokanazo na chakula. Leo, tutaizungumzia Soya ambayo ni maarufu sana nchini lakini kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa ni chakula chenye tiba ndani yake. Ajabu ya chakula hiki ni pale kinapompa nguvu mgonjwa haraka bila kujali aina ya ugonjwa anaoumwa. Katika ulimwengu wa vyakula, kuna maajabu mengi katika kukitumia chakula kama tiba na kinga ya maradhi. Mwaka 1999,...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Kikundi chenye ‘shortgun’ chatikisa Moshi
Hofu imewakumba wakazi wa Moshi mjini baada ya kudaiwa kuibuka kwa kikundi kinachoua watu kwa bunduki aina ya shortgun na kupora fedha na mali.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Kifaa chenye ufanisi katika hospitali TZ
Kifaa kinachotumika tanzania ambacho huwasaidia watoto waliozaliwa kabla ya mda wao kupumua.Ufanisi wa kifaa hicho ni sawa na vifaa vya teknolojia ya hali ya juu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania