Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikundi chenye ‘shortgun’ chatikisa Moshi

Hofu imewakumba wakazi wa Moshi mjini baada ya kudaiwa kuibuka kwa kikundi kinachoua watu kwa bunduki aina ya shortgun na kupora fedha na mali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kimbunga chenye mzunguko tofauti

Je, kimbunga hicho huzunguka upande upi? vimbunga vingi vya eneo la kaskazini huzunguka kulia kushoto katika mji wa Colorado

 

11 years ago

GPL

SOYA: CHAKULA CHENYE KINGA NA TIBA

Mpendwa msomaji. Bado tupo katika kudadavua faida za kiafya zitokanazo na chakula. Leo, tutaizungumzia Soya ambayo ni maarufu sana nchini lakini kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa ni chakula chenye tiba ndani yake. Ajabu ya chakula hiki ni pale kinapompa nguvu mgonjwa haraka bila kujali aina ya ugonjwa anaoumwa. Katika ulimwengu wa vyakula, kuna maajabu mengi katika kukitumia chakula kama tiba na kinga ya maradhi. Mwaka 1999,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kifaa chenye ufanisi katika hospitali TZ

Kifaa kinachotumika tanzania ambacho huwasaidia watoto waliozaliwa kabla ya mda wao kupumua.Ufanisi wa kifaa hicho ni sawa na vifaa vya teknolojia ya hali ya juu.

 

10 years ago

GPL

AMBER ROSE ATOA KITABU CHENYE UTATA!

Mwanamitindo anayetikisa Marekani, Amber Rose. New York, Marekani
MWANAMITINDO anayetikisa Marekani, Amber Rose juzikati alizindua kitabu chake kinachotambulika kama How To Be A Bad Bitch kilichoacha utata katika mitandao ya kijamii kutokana na jina lake. Kava la kitabu kinachoitwa 'How To Be A Bad Bitch'. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Amber aliachia kava la kitabu hicho kinachotoa somo la jinsi ya kufanikiwa kwenye maisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM ni kidole chenye kansa lazima kikatwe

WALIOOTA zamani walitutahadharisha kwa yale waliyoona katika ndoto. Leo tunapita katika majia salama kutokana na tahadhari ya ndoto zao. Wangenyamaza tusingejua yaliyokuwa yatukute asilani. Lakini mambo mengine hayahitaji kusubiri kujulishwa...

 

10 years ago

Michuzi

From Moshi to Harvard Presentation by International School Moshi — This Saturday at Seacliff Hotel

International School Moshi welcomes you all to join us for a presentation and find out how we helped one of our students get into Harvard University. When: Feb 14th, 10:00 AM | Where: Sea Cliff Hotel, Dar es Salaam For more info please visit us on www.ismoshiarusha.org

 

11 years ago

GPL

CHETI CHA KUZALIWA CHENYE JINA LA YUSRAH CHAOKOTWA

Cheti cha kuzaliwa chenye jina la Yusrah (mwanaume) ambaye baba yake ni Khalid Suleiman Khalid, kimeokotwa na maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam na kipo Global Publishers Bamaga Mwenge,  Mwenye cheti afike na vitambulisho vyake kukichukua.

 

9 years ago

Bongo5

Mr Nice azungumzia tukio la kula chakula chenye sumu

11821809_1675578409323823_1553764896_n

Mr Nice amesema hakupenda kulichukulia tukio la kula chakula chenye sumu kama kiki ya muziki kutokana na tukio hilo kutaka kumtoa maisha yake.

11821809_1675578409323823_1553764896_n

Akizungumza na Nje ya Box ya Planet Bongo, EA Radio jana, Mr Nice alisema mpaka anapona hakujua ni nani aliyefanya tukio hilo na ni kwa nia gani.

“Yeah sikutaka kuongea na vyombo za habari kwa sababu ni kitu ambacho kilikuwa moja kwa moja kinaathiri maisha yangu,” alisema.

“Nikaona huu ni wakati wa kukaa na kutatua matatizo yangu kwa kuangalia ni...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE NDESAMBURO NA MEYA WA MOSHI JAFARY MICHAEL WAENDELEA NA MIKUTANO KATIKA JIMBO LA MOSHI MJINI.

Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika jirani na Super Market ya Nakumat.Baadhi ya wananchi waliofika katika mkutano huo wakimsikiliza Ndesamburo.Baadhi ya viongozi wa Chadema akiwemo mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi ,Jafary Michael wakimsilikiza Ndesamburo.Msatahiki Meya wa Manispaa ya Moshi,Jafary Michael akizungumza katika mkutano wa hadhara .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani