Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisi za NFF abuja zateketea

Moto Mkubwa umechoma afisi za shirikisho la Soka la Nigeria NFF zilizoko Abuja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Fire destroys NFF building in Abuja

A huge fire rips through the Nigeria Football Federation building in the country's capital Abuja on Wednesday.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mali zateketea Dar

MALI na samani mbalimbali zimeteketea katika matukio mawili tofauti ya moto yaliyotokea juzi jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minagi, alisema tukio la kwanza lilitokea...

 

11 years ago

Mwananchi

Nyumba ya DC, askari zateketea kwa moto

Makazi ya Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi, Abdallah Uleja yameteketea kwa moto unaodhaniwa kusababishwa na hitilafu ya umeme.

 

9 years ago

Mwananchi

Nyumba yaungua, Sh10 milioni zateketea

Nyumba iliyopo Mtaa wa Chama cha Biblia, Kitunda Relini, Wilaya ya Ilala, imeteketea kwa moto sambamba na kuunguza fedha taslimu Sh10 milioni zililokuwamo ndani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waliotoa siri za afisi ya Papa washtakiwa

Watu 5 wamefunguliwa mashtaka katika makao makuu ya kanisa katoliki Vatican,kwa tuhuma za kutoa na kuchapisha nakala za siri.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wavamia afisi za soka Ujerumani

Polisi nchini Ujerumani, wamevamia makao makuu ya shirikisho la soka nchini humo, DFB, baada ya kushuku kuwa shirikisho hilo lilikwepa kulipa ushuru.

 

10 years ago

BBCSwahili

YAHOO kufunga afisi zake China

Kampuni ya mtandao YAHOO inatarajiwa kufunga afisi yake ya mwisho katika eneo la China bara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisi za riadha Kenya zimefungwa siku ya pili

Wanariadha wanaendelea kuzingira makao makuu ya shirikisho la riadha la Kenya AK kwa siku ya pili mfululizo kufuatia madai ya kukithiri kwa ufisadi afisini humo.

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AFUNGUA JENGO LA AFISI KUU YA UHAMIAJI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Tanzania Sylvester Ambokile Mwakinyule wakati alipowasili kulifungua Jengo la Afisi Kuu ya Uhamiaji Zanzibar leo liliopo Kilimani Mjini Zanzibar akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa Jengo la Afisi Kuu ya Uhamiaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani