Polisi wavamia afisi za soka Ujerumani
Polisi nchini Ujerumani, wamevamia makao makuu ya shirikisho la soka nchini humo, DFB, baada ya kushuku kuwa shirikisho hilo lilikwepa kulipa ushuru.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok
11 years ago
Habarileo13 Jul
Wananchi wavamia kituo cha polisi
POLISI wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wamelazimika kutumia mabomu na risasi za moto ili kuwanusuru askari wawili wasiuawe baada ya kuzuka ugomvi kati ya askari polisi wa Kituo cha Lukumbule na wananchi wa vijiji vya Lukumbule na Mchesi.
10 years ago
CloudsFM22 Jan
Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Polisi wavamia Chama cha Wanajeshi Myanmar
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Rais, Chama cha Soka Ujerumani ajiuzulu
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Polisi wavamia kituo cha kukusanya matokeo Ukawa
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Wanajeshi na Polisi wavamia bunge la El Salvador kulishinikiza kupitisha muswada
11 years ago
Michuzi
News Alert: Majambazi wavamia kituo cha Polisi Kimanzichana na kuua Askari

Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la JOSEPH NGONYANI na kuanza kumkatakata mapanga na hatimaye kupora silaha aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Ndipo...
10 years ago
Bongo504 Nov
Polisi wavamia nyumba ya Lil Wayne na kuchukua mali kutokana na deni la kukodi ndege binafsi

Polisi walivamia nyumba ya Lil Wayne huko Miami Beach Jumanne hii na kuchukua mali mbalimbali kutokana na deni alilonalo rapper huyo baada ya kukodi ndege binafsi na kushindwa kulipa.
Kwa mujibu wa TMZ, polisi walipofika nyumbani kwa Weezy, walinzi waliwauzia kuingia ndani. Maofisa walieleza kuwa walienda hapo kukamata vitu mbalimbali kwakuwa Wayne hajalipa deni lake la dola milioni 2 za kukodi ndege kutoka kwenye kampuni ya Signature Group.
Kampuni hiyo ilimshtaki Weezy kwa kushindwa...