Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waliotoa siri za afisi ya Papa washtakiwa

Watu 5 wamefunguliwa mashtaka katika makao makuu ya kanisa katoliki Vatican,kwa tuhuma za kutoa na kuchapisha nakala za siri.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

9 years ago

MillardAyo

Mastaa waliotoa ujumbe wa Merry Christmas leo Deo 25….. #instagram

Leo Dec 25 ni sikukuu ya Christmas sasa hapa nimekusogeza kile kilichoandikwa na mastaa mbalimbali kuhusiana na siku ya leo. Nawatakia mery xmass na mwaka mpya mashabiki wangu wa ukweli najua mnanipenda nami nawapenda sana! 😍😍😘😘😘😘 A photo posted by shishi bybee /she roll it (@shilolekiuno) on Dec 24, 2015 at 8:20pm PST Nawatakia heri […]

The post Mastaa waliotoa ujumbe wa Merry Christmas leo Deo 25….. #instagram appeared first on...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisi za NFF abuja zateketea

Moto Mkubwa umechoma afisi za shirikisho la Soka la Nigeria NFF zilizoko Abuja.

 

10 years ago

BBCSwahili

YAHOO kufunga afisi zake China

Kampuni ya mtandao YAHOO inatarajiwa kufunga afisi yake ya mwisho katika eneo la China bara.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wavamia afisi za soka Ujerumani

Polisi nchini Ujerumani, wamevamia makao makuu ya shirikisho la soka nchini humo, DFB, baada ya kushuku kuwa shirikisho hilo lilikwepa kulipa ushuru.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jaji Bomani akabidhi tuzo kwa Watanzania waliotoa mchango mkubwa kutetea haki na jamii nchini

_DSC0234_DSC0210

Jaji mstaafu Mark Bomani (kulia) akimkabidhi Tuzo ya maono mapevu, Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.

Jaji mstaafu Mark Bomani akimvisha skafu yenye Neno Tanzania Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema.

Jaji mstaafu Mark Bomani akimkabidhi Tuzo ya  uwazi na ukweli  Mkurugenzi wa Under the Same Sun,Vicky Ntetema tuzo ya ubunifu, tuzo ambazo zimetolewa na taasisi ya Dream Success Enterprises.

Jaji mstaafu Mark Bomani Skafu Saed Kubenea taasisi ya Dream Success...

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisi za riadha Kenya zimefungwa siku ya pili

Wanariadha wanaendelea kuzingira makao makuu ya shirikisho la riadha la Kenya AK kwa siku ya pili mfululizo kufuatia madai ya kukithiri kwa ufisadi afisini humo.

 

10 years ago

Michuzi

DKT. SHEIN AFUNGUA JENGO LA AFISI KUU YA UHAMIAJI ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Kamishna Mkuu wa Uhamiaji Tanzania Sylvester Ambokile Mwakinyule wakati alipowasili kulifungua Jengo la Afisi Kuu ya Uhamiaji Zanzibar leo liliopo Kilimani Mjini Zanzibar akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa Jengo la Afisi Kuu ya Uhamiaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani