AFRIKA 'OUT' KOMBE LA DUNIA 2014
![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxxtobMyOBGOc9-*QtNFtEXV3jrsx4ayd9ExK3Nu2hkMRSx4MJUtP2VPf00glcJYMfW3l6oxMUjT5OtI9vtmOHoi/pogba.jpg)
Paul Pogba wa Ufaransa akifunga bao la kwanza dhidi ya Nigeria katika dakika ya 78 ya mchezo. Juwon Oshaniwa wa Nigeria (kulia) akijaribu kumzuia kiungo wa Ufaransa, Paul Pogba. Mesut Ozil akishangilia bao aliloifungia Ujerumani na kuiondoa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/Mercedes-Benz-Fashion-Week-2014-Sheria-Ngwoi-Bellanaija-October2014015.jpg?width=600)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0TmmKGZbGaZ6jxFKi67AQAzMTzQhRhLc7mUO0jBK3ROa*Hvi5vaXjpDorbUlYV9VcLhFB2B*p75lDTYgNZAakp*u8/DENTI.jpg)
DENTI 'FORM FOUR' ALIYEFARIKI DUNIA SAA 3 KABLA YA MTIHANI
Stori: Mwandishi wetu NI SIMANZI! Msichana Yunis Festo aliyekuwa na umri wa miaka 18 akisoma kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Simba wa Yuda iliyoko katika Kijiji cha Bulima, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, alifariki dunia ghafla, saa takriban tatu tu kabla ya kuanza mitihani ya kumaliza elimu ya sekondari, alfajiri ya Jumatatu wiki hii. Yunis Festo enzi za uhai wake. Akizungumza kwa njia ya simu na gazeti hili akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2K8f547hRfR7w4D6Yd1Xd*dSfLlwsfT*rV6q-SNZ54c-vjOL5eZhUOfjqwa9en02TNocrUR2G5DB0i-CpS3TXyI/1oMARLBOROMANERICLAWSON570.jpg?width=450)
ERIC LAWSON 'MARLBORO' AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 72
Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro enzi za uhai wake. MWIGIZAJI wa Marekani, Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro baada ya kutokea katika matangazo ya sigara miaka ya 1970 amefariki kwa ugonjwa wa mapafu akiwa na umri wa miaka 72. Lawson alifariki Januari 10 mwaka huu akiwa nyumbani kwake San Luis Obispo kwa ugonjwa wa mapafu, kwa mujibu wa mkewe Susan Lawson. Lawson aliyeanza kuvuta sigara akiwa na umri wa miaka 14,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IR6j1-Mhm*UjTJpo9JIEKobFCswrtAaRWSCXUyQ*sLeH7Ymvzb1cAljJBooE8*jGLIqeOiQzRWAPX*CfJaKNNWRCRnf*s0DO/IMG20150207WA0000.jpg?width=650)
MSANII 'MAMA MASHAKA' AFARIKI DUNIA LEO
Waombolezaji wakiwa wenye nyuso za simanzi. Bi Mwenda akiwa msibani leo. Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ enzi wa uhai wake.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MSANII WA MAIGIZO 'MAMA MASHAKA' AFARIKI DUNIA
MSANII wa maigizo aliyewahi kuwika na kundi la Kaole Sanaa Group, Mwajuma Abdallah ‘Mama Mashaka’ amefariki dunia. Mama Mashaka amefariki usiku wa kuamkia leo majira ya saa tano za usiku katika Hospitali ya Amana iliyopo Ilala, jijini, Dar. Kwa habari zaidi tutaendelea kukujuza hapa .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXWDgRcNXlxJ5PESi4BG2dimC-AbKYwl6yUQ0xF6jVNnUoNHJsMMlq27WluySN-DfdOsu0vaoxtvYmyUzO22FAQa/RICHARD.jpg?width=650)
RICHARD KIEL 'MENO YA CHUMA' WA JAMES BOND AFARIKI DUNIA
Mwigizaji  Richard Kiel 'meno ya chuma' enzi za uhai wake. MWIGIZAJI wa Marekani, Richard Kiel aliyecheza filamu za James Bond akiwa na meno ya chuma amefariki dunia akiwa na miaka 74 jijini California. Richard Kiel (kulia) akimkaba Roger Moore katika filamu ya 'The Spy Who Loved Me'. Kiel amefariki akiwa Kituo cha Afya cha Saint Agnes Fresno jijini California nchini Marekani alipokuwa akitibiwa.… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m1tWer77BeBc6iYgtujRcWMRO1GCp7hpsflryVEBV-oMX5X*PM6jGx-dCFM6DbJ-yop*akPoYpHX2DWhIlAEBG5NYr0QLh0G/benkiyadunia.jpg?width=650)
BENKI YA DUNIA 'YABANA' MSAADA KWA UG
Benki ya dunia. Benki ya dunia imebana msaada wa dola milioni 90 kwa Uganda , siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuishinisha sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja. Sheria iliyoidhinishwa na Rais Yoweri Museveni, ilitiwa saini Jumatatu na inatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja. Wafadhili wengine tayari wameanza kusitisha misaada Uganda. Wahisani kama Denmark na Norway wamesema kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZeHCwD2fDlCQjntX9BvCdEvnXGHGoGqJm6MVbTJfZ193mYF*vVTx13ss18cCHtuHPRcBmlcFTbp2CdVXz*U3cvO/BillbA3.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania