Afya kuendelea kusimamia viwango vya wauguzi
KATIBU Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando amesema Serikali itaendelea kusimamia viwango vya taaluma ya uuguzi na ukunga kuboresha utoaji wa huduma katika sekta ya afya nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziHOSPITALI YA KAIRUKI YAPATA TUZO YA UBORESHAJI VIWANGO VYA HUDUMA YA AFYA
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, ameukabidhi uongozi wa Hospitali ya Kairuki (KH) tuzo ya waliofanya vizuri katika vigezo mbalimbali vya uboreshaji viwango vya huduma...
5 years ago
Michuzi
DC CHONJO AWAPONGEZA WAUGUZI KITUO CHA AFYA SABASABA KWA KUTOKUWA NA VIFO VYA MAMA NA MTOTO


**********************
NA FARIDA SAIDY,MOROGORO
MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo , amezindua
rasmi Wodi ya Wazazi ijulikanyo kwa jina la “Wodi ya Wazazi Regina
Chonjo” katika Kituo cha Afya cha Sabasaba Manispaa ya Morogoro.
Akizungumza na Waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi huo,
Mhe Chonjo, amewataka Wauguzi kutumia taaluma zao kwa uwaledi ili
Wazazi wajifungue salama.
Aidha, amekipongeza kituo hicho cha afya kwani tangia ianze huduma
ya uzalishaji haijawai kutokea...
10 years ago
StarTV22 Sep
Mawaziri wa Afya Afrika Mashariki wajadili viwango vya matumizi ya dawa yanayokubalika
Wadau wa uzalishaji dawa kwenye ukanda wa Afrika Mashariki wanakutana jijini Dar es Salaam kwa mara ya kwanza kujadili muongozo wa utumiaji wa dawa unaozingatia viwango vinavyokubalika kimataifa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya mkutano wa kisekta uliokutanisha mawaziri wa masuala ya afya wa ukanda huo.
Ajenda kuu, ni namna nchi zote tano za Afrika Mashariki zinavyoweza kuwa na matumizi sawa na viwango vinavyofanana vya dawa pamoja na kuhamasisha uwekezaji zaidi kwenye uzalishaji wa...
5 years ago
Michuzi
Muhimbili kuendelea kutambua mchango wa Wauguzi


Mkurugenzi wa Huduma za Uuuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kumbukumbu ya siku ya wauguzi duniani inayoadhimishwa Mei 12 kila mwaka.

Muuguzi Sophia Sanga akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kumbukumbu ya siku ya wauguzi duniani inayoadhimishwa Mei 12...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ZANZIBAR AZINDUA BARAZA LA WAUGUZI NA WAKUNGA
Akizungumza katika uzinduzi rasmi wa Baraza Wauguzi na Wakunga katika Chuo cha Sayanzi ya Afya Mbweni, Waziri Rashid Seif amesema wauguzi na wakunga ni walezi wanaoshughulikia matatizo ya watu hivyo wanatakiwa kutekeleza wajibu wao kwa uadilifu.
Amesema ...
10 years ago
MichuziWizara ya Afya yaridhishwa na viwango TBL
10 years ago
BBCSwahili14 Sep
Viwango vya juu vya joto vitakumba Dunia