Ahadi ya ujenzi barabara Serengeti yakwama
Arusha, Ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami kutoka Mto wa Mbu, wilayani Monduli, Mkoa wa Arusha hadi Nata, wilayani Serengeti, Mkoa wa Mara umekwama baada ya Serikali kushindwa kutoa fedha kama ilivyoahidi awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Ujenzi wa barabara Serengeti wazuiwa
11 years ago
Dewji Blog06 May
Magari zaidi ya 100 yakwama eneo la Manzese barabara ya Dar Es Salaam Mtwara
Malori na Mabasi yakiwa kwenye msururu mrefu mara baada ya kushindwa kuendelea na safari kwa takribani masaa zaidi ya nane katika eneo la Manzese lililopo Kilwa barabara ya Dar Es salaam kuelekea Mtwara hapo jana kutokana na eneo hilo kuharibiwa vibaya na mvua zinazoendelea kunyesha na kupelekea magari zaidi ya mia kukwama.
Baadhi ya wasafiri kwenye mabasi yaendayo Dar Es Salaam kutoka Mtwara, Lindi na Kilwa na yale yatokayo Jijini Dar Es Salaam kuekelea mikoa ya Kusini wakiwa wamesimama...
11 years ago
GPLMAGARI ZAIDI YA MIA YAKWAMA ENEO LA MANZESE BARABARA YA DAR ES SALAAM MTWARA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aVOEANDMHVo/UviW-kpc5jI/AAAAAAAAK1o/aMf9fyuXIpo/s72-c/1.jpg)
NEWS ALERT: MAGARI YAKWAMA ENEO LA HEDARU BAADA YA MVUA KUBWA KUNYESHA NA KUZUIA BARABARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aVOEANDMHVo/UviW-kpc5jI/AAAAAAAAK1o/aMf9fyuXIpo/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XsTsJxVJDvU/UviW-1e7DeI/AAAAAAAAK1s/FIhiVuEuv-E/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZI-AJ21aAbs/UviW_B_YKKI/AAAAAAAAK1w/qhexnq9XvyE/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-x6FIto73Eoc/UviXaaiN3gI/AAAAAAAAK2A/AUsBgP0o9zw/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vkwnDsQ0Lb0/UviXarisxqI/AAAAAAAAK2E/i_52vHdcwKM/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_YjXSsNQ90w/UviXbaXII2I/AAAAAAAAK2Q/MeM4R8xfN6I/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)