Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AHAMA NYUMBA, KISA FUMANIZI

Stori:  Issa Mnally na Richard Bukos JAMBO limezua jambo! Yule jamaa aliyefahamika kwa jina la Huruma Bernard ambaye alidai kumfumania baba mwenye nyumba wake, Lugali akitaka kuvunja amri ya sita na mkewe, hatimaye ameamua kuhama nyumba. ...Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati wa fumanizi. Fumanizi hilo liliripotiwa na gazeti hili, toleo la wiki iliyopita likiwa na kichwa cha habari, ‘VUNJA JUNGU GESTI’ ambapo Huruma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SABBY AHAMA KISA KUMKIMBIA BOB JUNIOR

Stori: Hamida Hassan na Imelda Mtema
STAA wa filamu za Kibongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’  ameamua kuhama jiji la Dar kwa nia ya kumkimbia Bob Juniour ambaye hakuthamini penzi lake. Staa wa filamu za Kibongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ akipozi. Akizungumza na waandishi wetu, Sabby alisema kuwa ameona Bob Junior  hamthamini ndiyo maana ameamua kukimbia na kuelekea nchini Kenya akaendelee na...

 

9 years ago

GPL

MGANGA ANUSURIKA KUUAWA KISA, FUMANIZI

Mganga huyo baada ya kufumaniwa. Na Victor Bariety, Geita  MWANAUME mmoja mkazi wa mtaa wa Mkoani kata mpya ya Bombambili wilayani Geita, mkoani Geita ambaye ni mganga wa kutibu mifupa ya binadamu iliyovunjika, amenusurika kifo baada ya kufumaniwa akidaiwa kufanya mapenzi na mke wa mtu.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1MQbCjt

 

11 years ago

GPL

MKE WA MTU ACHANJWA NYEMBE KISA FUMANIZI

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro MWANAMKE mmoja,  Rehema Juma (21) ambaye ni mke wa mtu, mkazi wa Mtaa wa Msamvu B, Kata ya Kihonda Maghorofani mkoani Morogoro amechanwa na nyembe mwilini na baadaye kutembezwa bila nguo mtaani mchana kweupe akituhumiwa kufumwa na mume wa mtu. ...Aliyekatwa nyembe. Tukio hilo la aina yake  ambalo lilivuta umati mkubwa, lilitokea Julai 5, mwaka huu saa 10 jioni katika Mtaa wa Msamvu B....

 

11 years ago

GPL

MKE ACHOMA NYUMBA KISA WIVU WA MAPENZI

Stori:DUSTAN SHEKIDELE, MOROGORO KATIKA hali ya kusikitisha, mwanamke mmoja mwenye ujauzito wa miezi 7 sasa, Vaileth Kibwana, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mjini hapa baada ya mwishoni mwa wiki iliyopita kuiteketeza nyumba yao kwa moto, katika kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi baina yake na mumewe. Mume wa mwanamke Vaileth Kibwana, anyeshikiliwa na jeshi la polisi kwa kuchoma moto nyumba yao  na kuteketeza mali...

 

11 years ago

GPL

AICHOMA NYUMBA YAKE KISA WIVU WA MAPENZI SEGEREA JIJINI DAR

Nyumba ya familia moja huko mtaa wa Ugombolwa Kata ya Segerea jijini Dar ikiwa inateketea kwa moto usiku wa kuamkia leo mara baada ya baba wa familia hiyo kuhisi kuwa mke wake ana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwingine na kuamua kuichoma moto nyumba hiyo sababu ya wivu wa mapenzi.…

 

11 years ago

GPL

AHAMA NCHI

Stori: WAANDISHI WETU KUNA madai mazito kwamba, yule bilionea  kijana anayemiliki kampuni ya uuzaji na usambazaji wa vifaa vya nyumbani ya Home Shopping Centre ya Kariakoo jijini Dar es Salaam, Said Saad Mohamed amehama Bongo baada ya lile tukio la kikatili la kumwagiwa tindikali lililotokea mwaka jana maeneo ya Msasani, Dar. Raisi Jakaya Kikwete alipomtembelea kumjulia hali bilionea  kijana anayemiliki kampuni ya uuzaji...

 

10 years ago

GPL

MGEJA AHAMA CCM NA KUJIUNGA CHADEMA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja. MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga, Khamis Mgeja ametangaza rasmi kuachana na chama hicho na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hivi punde. Mgeja ametangaza uamuzi huo wakati akaiongea na wanahabari jijini Dar es Salaam amabapo ametumia kauli ya Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 alipozungumzia...

 

9 years ago

GPL

NISHA AHAMA MTAA KUWAKIMBIA VIBAKA

Salma Jabu maarufu kama Nisha. SALMA Jabu maarufu kama Nisha amelazimika kuhama mtaa aliokuwa akiishi mwanzo huko Kijitonyama, akiwakimbia vibaka baada ya hivi karibuni kumuibia vifaa ndani ya gari lake. Nyota huyo wa filamu ameamua kuhamia mitaa ya Mbezi Beach baada ya kuhisi huenda vibaka hao wanaweza kurudi na kumfanyia uhalifu mbaya zaidi ya ule wa kuligeuza gari lake gofu kwa kuiba kila kitu cha ndani. “Tangu...

 

10 years ago

Habarileo

Kagonji ahama Chadema, arejea CCM

Charles Kagonji ALIYEWAHI kugombea ubunge wa Mlalo Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mwaka 2005, Charles Kagonji amekihama chama hicho na kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani