Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AIBU! TICHA MBARONI KWA KUMUUZISHA MTOTO MAYAI MUDA WA SHULE

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
MATUKIO ya mateso, unyanyasaji na utumwa kwa watoto yanashika kasi nchini! Safari hii mwalimu wa shule moja ya msingi iliyopo Mburahati jijini Dar aliyetajwa kwa jina moja la Lucy ametia aibu baada ya kutiwa mbaroni katika Kituo cha Polisi cha Magomeni, Dar akituhumiwa kumtumikisha mtoto mwenye umri wa miaka 12 aitwaye Sakina kwa kumuuzisha mayai ya kuchemsha na soseji. Mwalimu huyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AIBU TICHA WA TRA

Stori: Waandishi Wetu
HII ni aibu kubwa! Mhadhiri wa Chuo cha Kodi ya Mapato Tanzania, Richard Donati amezuliwa timbwili la aina yake nyumbani kwake, hali iliyosababisha mtaa kufungwa, kisa kikielezwa ni kukutwa na mchumba wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Aisha. Mwenye mchumba (kushoto) akitulizwa baada ya kupandisha hasira. HABARI KAMILI
Sakata hilo lilitokea mchana kweupe, Ijumaa iliyopita,  Sinza – Kwa Remmy...

 

9 years ago

Mwananchi

Kufungwa shule kwa kukosa choo ni aibu

Jana katika ukurasa wa sita wa gazeti hili kulikuwa na habari iliyosomeka ‘shule kufungwa kwa kukosa choo’. Habari hiyo ilisema Shule ya Msingi Bufanka wilayani Bukombe mkoani Geita ipo hatarini kufungwa kutokana na choo cha wanafunzi kutitia hivyo kuhatarisha usalama wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto azaliwa kutokana na mayai yaliohifadhiwa

Mwanamke mmoja nchini Ubelgiji amekuwa wa kwanza duniani kujifungua mtoto kwa kutumia upandikizaji wa mayai ya mwanamke yaliowekwa katika jokovu alipokuwa mtoto.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamke mbaroni kwa kuchinja mtoto

Polisi mkoani Iringa, wanawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti. Watuhumiwa hao ni pamoja na mwanamke mmoja wa Iramba wilayani Mufindi,anayeshikiliwa kwa tuhuma za kumchinja mtoto wake na kumtupa chooni.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni

FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazazi Geita mbaroni kwa kutopeleka watoto shule

WAZAZI watano mkoani Geita wamekamatwa na Polisi kwa kugoma kuwapeleka watoto wao shule na kuwalazimisha kuwaoza. Hatua hiyo inatokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Saisi Magalula, la...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake

Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya kubakwa na jirani yao.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kumnajisi mtoto msikitini Liwale

Mkazi mmoja wa Mtaa wa Mungurumu, wilayani Liwale mkoani Lindi, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa anayesoma darasa la pili katika Shule ya Msingi Kawawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani