Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbaroni kwa kumnajisi mtoto msikitini Liwale

Mkazi mmoja wa Mtaa wa Mungurumu, wilayani Liwale mkoani Lindi, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa anayesoma darasa la pili katika Shule ya Msingi Kawawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto

MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo wa CCM adaiwa kumnajisi mtoto wake

Kigogo mmoja wa CCM wilayani Rombo anadaiwa kumnajisi mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyembaka mtoto msikitini jela miaka 30

>Mahakama ya Wilaya ya Liwale, Lindi imemhukumu Mussa Chande kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wa miaka 11 anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Kawawa.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kumfukia mtoto shimoni

FAIDA Mohammed Salum (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumtupa mtoto mchanga aliyejifungua siku moja tu na kumfukia shimoni eneo la Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwanamke mbaroni kwa kuchinja mtoto

Polisi mkoani Iringa, wanawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti. Watuhumiwa hao ni pamoja na mwanamke mmoja wa Iramba wilayani Mufindi,anayeshikiliwa kwa tuhuma za kumchinja mtoto wake na kumtupa chooni.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake

Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya kubakwa na jirani yao.

 

10 years ago

GPL

AIBU! TICHA MBARONI KWA KUMUUZISHA MTOTO MAYAI MUDA WA SHULE

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
MATUKIO ya mateso, unyanyasaji na utumwa kwa watoto yanashika kasi nchini! Safari hii mwalimu wa shule moja ya msingi iliyopo Mburahati jijini Dar aliyetajwa kwa jina moja la Lucy ametia aibu baada ya kutiwa mbaroni katika Kituo cha Polisi cha Magomeni, Dar akituhumiwa kumtumikisha mtoto mwenye umri wa miaka 12 aitwaye Sakina kwa kumuuzisha mayai ya kuchemsha na soseji. Mwalimu huyo...

 

10 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa kumnajisi mdogo wake

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega, imemhukumu mkazi wa wilaya hiyo, Jumanne Masanja (23), kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kunajisi mdogo wake wa kike mwenye umri wa miaka 13.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani