Kigogo wa CCM adaiwa kumnajisi mtoto wake
Kigogo mmoja wa CCM wilayani Rombo anadaiwa kumnajisi mtoto wake mwenye umri wa mwaka mmoja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Feb
Afungwa maisha kwa kumnajisi mtoto
MKAZI wa mtaa wa Nsemulwa, Athuman Mussa (54) amehukumiwa kifungo cha maisha jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minne mdomoni.
11 years ago
Mwananchi15 May
Mbaroni kwa kumnajisi mtoto msikitini Liwale
10 years ago
Habarileo15 Aug
Jela miaka 30 kwa kumnajisi mdogo wake
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega, imemhukumu mkazi wa wilaya hiyo, Jumanne Masanja (23), kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kunajisi mdogo wake wa kike mwenye umri wa miaka 13.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GkcexZAd663z26ByI0DUVWw*mR80LP8il7CxvrmLQDwvStIfyCURBoOXPjOWMG9D5HBIGfYHGwfCXTMMXeV45**pMWYsFd9L/KIGOGO.jpg?width=650)
KIGOGO ATOROSHA MTOTO, AMLAWITI
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Mwalimu wa kike shule ya Kigogo Dar auawa na mdogo wake
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU wawili mkoani Singida wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la Mwalimu wa shule ya msingi Kigogo jijini Dar-es-salaam, Hawa Idd (34) baada ya kuchomwa kisu sehemu mbalimbali za mwili wake na mdogo wake Ramadhan Iddi (24) anayedaiwa kuwa na matatizo ya akili.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela alisema tukio hilo limetokea Septemba 23 mwaka huu saa...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kijana adaiwa kubaka mtoto wa miaka 16
MKAZI wa kitongoji cha Misunkumilo mjini Namanyere, Zacharia Katembo (21) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi kwa madia ya kumbaka mtoto.
Mshitakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo Jumanne wiki hii, mbele ya Hakimu Ramadhani Mgalamalira, ambapo alikana mashitaka ya kubaka mtoto mwenye umri wa miaka 16.
Hakimu Mgalamalira aliahirisha shauri hilo hadi Machi 23, mwaka huu, litakapotajwa tena. Pia aliamuru mshitakiwa kurejeshwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Mlinzi adaiwa kunajisi mtoto wa miaka 2
MLINZI wa Kampuni ya Security Guard, Keiya Kapuka (28) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala, kujibu mashitaka ya kunajisi mtoto wa miaka miwili. Mwendesha Mashitaka wa Serikali, Munde Kalombola alidai mbele ya Hakimu Ester Mwakalinga kuwa Februari 9, mwaka huu, eneo la Mtaa wa Muheza wilayani Ilala, Kapuka alimnajisi mtoto wa miaka miwili.
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Baba adaiwa kumuua mtoto kwa kipigo
10 years ago
Habarileo27 Oct
Mwanamke adaiwa kuiba mtoto kulinda ndoa
POLISI mkoani Rukwa wanamshikilia mkazi wa kitongoji cha Chanji, Manispaa ya Sumbawanga, Magreth Juma (34) akituhumiwa kuiba mtoto wa kike mwenye umri wa siku mbili ili asiachike katika ndoa yake, kwa kuwa hajabahatika kumzalia mtoto mumewe.