Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aipongeza ATCL kurejea Arusha, Zanzibar

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), litaanza safari kwenye mikoa ya Arusha na Zanzibar mara sita kwa wiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

ATCL yarejea katika anga za Arusha, Zanzibar

 Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) Bw. Juma Boma (kushoto) akiteta jambo na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Lazaro Nyalandu wakati wa uzinduzi wa safari ya ATCL ya Dar es Salaam -Arusha – Zanzibar, wakitumia ndege yao yenye uwezo wa kuwabeba abiria 50 aina ya Bombardier Dash-8. Uzinduri ulifanyika Jumatano jioni. Kaimu Mkurugenzi wa Biashara wa Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) Bw. Juma Boma (wa kwanza kulia) akishuka kutoka katika ndege ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI LIBERATA MULAMULA AIPONGEZA NA KUIMWAGIA SIFA ZANZIBAR HEROES KWA KUTWAA

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico amewapongeza wachezaji na viongozi wa Zanzibar Heroes kwa kunyakua kombe la Muungano kwa mechi iliyofanyika siku ya Jumamosi April 25, 2015 Capitol Heights, Maryland nchini Marekani.

Katika salamu za pongezi Mhe. Liberata Mulamula pia aliwashukuru Peoples Bank of Zanzibar kwa udhamini wao na kuwaomba kuendelea kuwa na moyo huo huo wa kuitambua Diaspora ni sehemu ya Tanzania na mchango mkubwa katika kusukuma gurudumu la maendeleo Tanzania.

Pia Mhe....

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Iddi aipongeza USAID kwa kuisaidia Zanzibar katika kukabiliana na majanga

653

Kamanda Philip Knightsheen akitoa salamu za Shirika lake linalosimamia huduma za Kibinaadamu  na Afya la Usafricom  kwenye mafunzo ya siku tano ya zoaezi la kukabiliana na maafa Zanzibar katika Zanzibar Beach Resort Mazizini.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Serikali ya Watu wa Marekani kupitia Shirika lake la Misaada ya Maendeleo la Us aid kwa jitihada zake za kuisaidia Zanzibar katika mipango yake ya kutafuta mbinu za kuwa tayari kwa kukabilana na maafa...

 

10 years ago

TheCitizen

Development blueprints: from Arusha to Tabora via Zanzibar

Tanzania’s never had a shortage of ‘well-wishers’ beginning with independence in 1961 to this day and age. But, while some of the well-wishers have been (and continue to be) bona fide, 24-carat development partners, others have been (and continue to be) shameless scroungers out to grab what they can from the country – and hightail it for off-shore tax havens and secret bank accounts!

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Daily News

16 held over acid attacks in Arusha, Zanzibar


16 held over acid attacks in Arusha, Zanzibar
Daily News
POLICE in Dar es Salaam have arrested 16 suspects in connection with actions that constitute terrorism, including carrying out acid attacks on several individuals in various locations in the country. Tanzania Police Force Spokesperson Advera Bulimba told ...

 

10 years ago

TheCitizen

Ministry: We want to bail out ATCL

Already the ministry of Transport has ordered ATCL to prepare a business plan which, among the things, will identify the airline’s needs.

 

10 years ago

Mwananchi

ATCL kuburutwa mahakamani

Waliokuwa wafanyakazi wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Kapteni Msami Mmari na Kapteni Suel Mjungu wamefungua madai ya kuomba kukazia hukumu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Kazi, wakiomba kukamata na kuliuza jengo la ATC House ili wafidie malimbikizo yao ya mishahara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani