Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Air Seychelles kuzindua njia mpya Dar

SHIRIKA la Ndege la Jamhuri ya Shelisheli, ‘Air Seychelles’ liinatarajia kuzindua safari za ndege zake jijini Dar es Salaam Desemba 2 mwaka huu. Kwa mujibu wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Use Air Seychelles’ Dar-Mahé flights for business: minister

Air Seychelles started flying between Dar es Salaam and the Indian Ocean archipelago yesterday, a move meant to offer more options to tourists visiting the two countries.

 

10 years ago

Michuzi

Air Seychelles yazindua safari za ndege Mahe - Dar es Salaam

 Shirika la Ndege la Taifa la Shelisheli, Air Seychelles limeanza kufanya safari zake kati ya mji mkuu wa nchi hiyo, Mahe na Dar es Salaam ambapo  Desemba 2, 2014, ndege yake ya abiria HM 777 ilifanya safari yake ya kwanza ya uzinduzi kwa kutua Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam.

Ujio wa shirika hilo la ndege unafanya mashirika ya ndege yaliyoanzisha safari zake kuja Dar es Salaam kwa siku za hivi karibuni kufikia matatu, Air Seychelles, Flydubai ya Umoja...

 

5 years ago

Michuzi

TECNO yaja kivingine, kuzindua simu mpya CAMON 15 kwa njia ya mtandao Tanzania

KAMPUNI ya simu za mkononi ya TECNO inatarajia kuandika historia Tanzania kwa kuzindua simu yake mpya ya CAMON15 Aprili 15 mwaka huu kwa kutumia mitandao ya kijamii yaani ‘Online Launch’.Akizungumzia kuhusu uzinduzi huo katika ofisi za TECNO jiijini Dar es Salaam leo afisa masoko wa TECNO mtandaoni, Salma Shafi amesema hii ni fursa kwa kampuni hiyo kuwasiliana na wateja wake na Watanzania wote kwa ujumla kupitia teknolojia ya intanteti.
“Hii sio tu nafasi nzuri kwa TECNO kuwasiliana na wateja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Madagaska imeongezwa kwenye mtandao unaokua wa Air Seychelles

as

Air Seychelles (http://www.airseychelles.com), shirika la ndege la kitaifa la Jamhuri ya Ushelisheli, imetangaza leo uzinduzi wa safari za moja kwa moja hadi Antananarivo, Madagaska, kuanzia tarehe 3 Desemba 2014.*

Sagari hizi  mbili kwa wiki hadi Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa capital’s Ivato (TNR) zitakuwa zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye vitengo viwili na viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.

Madagaska inajulikana kwa vivutio vyake vya...

 

9 years ago

GPL

YAMOTO BAND KUZINDUA STAILI MPYA DAR LIVE

  Ni Uzinduzi wa Video ya Cheza kwa Madoido...  
KUNDI linalotikisa kila kona la Yamoto Band linatarajiwa kuzindua staili mpya za kucheza, Septemba 11, mwaka huu pale watakapozindua rasmi Video ya Cheza kwa Madoido ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Akichonga na Mikito Nusunusu, meneja wa bendi hiyo, Said Fella aliwataka mashabiki wa Yamoto kufika kwa wingi kutokana na staili...

 

11 years ago

Habarileo

Njia mpya ya mawasiliano Dar-Zanzibar yazinduliwa

Profesa Makame MbarawaSERIKALI imezindua njia mpya ya mawasiliano inayounganisha Dar es Salaam kwa upande mmoja na Unguja na Pemba kwa upande mwingine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jiji Dar kuweka alama, njia mpya

KATIKA juhudi za kuimarisha hali ya usafiri na kupunguza msongamano, alama mpya za barabarani na mabadiliko ya njia yanategemewa katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuanzia mwishoni mwa mwezi...

 

10 years ago

Michuzi

Mh.Samia Suluhu mgeni rasmi uzinduzi wa njia mpya za shirika la ndege la Flydubai jijini Dar leo.


Wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi huo wa njia mpya ya shirika la ndege la Flydubai lenye makao yake makuu Dubai..Mgeni rasmi,Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano,Mh Samia Suluhu akizungumza mapema leo katika uzinduzi wa njia mbili mpya za ndege ya FlyDubai aina ya Boieng 737-800,uliofanyika katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,jijini Dar.Makamu wa Rais mwandamizi katika shughuli za kibiashara wa shirika la ndege la FlyDubai...

 

10 years ago

Bongo5

Weusi kuzindua video zao 5 mpya kwenye show ya ‘Funga mwaka la Weusi’ Jumamosi hii Dar

Familia ya Weusi inaendelea kuonesha matunda ya muungano wao, wakiwa wanaendelea na ziara ya show zao za Funga mwaka, wiki hii Weusi wanatarajia kuzindua video zao tano kwa mpigo pale Escape One, jijini Dar es salaam. Msemaji wa kundi hilo Nikki Wa Pili amezitaja video watakazozindua Jumamosi hii November 29, kuwa ni video yake ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani