Jiji Dar kuweka alama, njia mpya
KATIKA juhudi za kuimarisha hali ya usafiri na kupunguza msongamano, alama mpya za barabarani na mabadiliko ya njia yanategemewa katikati ya Jiji la Dar es Salaam kuanzia mwishoni mwa mwezi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-l4wBrMEIEmM/Uwb4DWRDwEI/AAAAAAAFOg8/k3tZyNl3UvA/s72-c/unnamed+(85).jpg)
UZUNDUZI WA MRADI MKUBWA WA NJIA MPYA YA MAWASILIANO UNAOUNGANISHA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA UPANDE MMOJA NA UNGUJA NA PEMBA KWA UPANDE MWINGINE
![](http://4.bp.blogspot.com/-l4wBrMEIEmM/Uwb4DWRDwEI/AAAAAAAFOg8/k3tZyNl3UvA/s1600/unnamed+(85).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-g-OgqaEa89g/Uwb4DpEbuWI/AAAAAAAFOhA/GUU2DXbdpiA/s1600/unnamed+(86).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bp86vAV3KKM/Uwb4DyadJEI/AAAAAAAFOhI/cD7-0S0AG-4/s1600/unnamed+(87).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tu3f7Yl8Sl4/Uwb4EkQ95bI/AAAAAAAFOhQ/9NbPTflJ6g8/s1600/unnamed+(88).jpg)
11 years ago
Michuzi25 Mar
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
![DSC_1151](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg)
Meneja Huduma Maji taka kutoka Dawasco, Mathias Mulagwande (mwenye suti ya damu ya mzee) akinyoosha kidole kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (wa pili kulia) sehemu korofi za kutiririsha maji machafu barabara ya Morogoro kati kati ya jiji.
Na Damas Makangale
WATENDAJI wa Mamlaka za Maji Safi na Taka, Manispaa, Halmashauri, Wakala wa Barabara na Mabasi yaendayo kasi wameshauri kuwa na utaratibu wa kuwasiliana na kushirikiana kwa pamoja ili kuleta tija katika...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_1151.jpg?width=640)
WATENDAJI DAR WAASWA KUSHIRIKIANA ILI KUWEKA JIJI KATIKA HALI YA USAFI
Meneja Huduma Maji taka kutoka Dawasco, Mathias Mulagwande (mwenye suti ya damu ya mzee) akinyoosha kidole kumuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick (wa pili kulia) sehemu korofi za kutiririsha maji machafu barabara ya Morogoro kati kati ya jiji . Meneja Huduma Maji taka kutoka Dawasco, Mathias Mulagwande akiwaonyesha baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam, akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar, Said Meck Sadick...
10 years ago
GPLWANANCHI WANAPOAMUA KUWEKA ALAMA ZA HATARI BARABARANI
Hii ndiyo alama ya mti iliyowekwa na watumiaji wa barabara ya Kariakoo-Sinza. Gari likipita karibu na chemba iliyowekwa alama na…
10 years ago
MichuziJESHI LA POLISI TANZANIA LAKABIDHIWA MASHINE ZA KUWEKA ALAMA SILAHA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oajSCfq5SuA/VJl4KswUo3I/AAAAAAABAW0/HtQO0itP3Zw/s72-c/DSC_0819.jpg)
MSD YAKUBALI AGIZO LA SERIKALI KUWEKA ALAMA KATIKA DAWA NA VIFAA TIBA
NA CHALILA KIBUDA GLOBU YA JAMII,DAR
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD),Cosmas Mwaifwani amesema bohari ya dawa imepokea agizo la serikali kuweka alama katika dawa za umma pamoja na vifaa tiba ili kuweza kudhibiti upotevu wa dawa pamoja na vifaa tiba.
Mwaifwani aliyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mikakati bohari hiyo katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Alisema katika mkakati mwingine ni kuanzisha maduka ya jumla...
KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa nchini (MSD),Cosmas Mwaifwani amesema bohari ya dawa imepokea agizo la serikali kuweka alama katika dawa za umma pamoja na vifaa tiba ili kuweza kudhibiti upotevu wa dawa pamoja na vifaa tiba.
Mwaifwani aliyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mikakati bohari hiyo katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi.
Alisema katika mkakati mwingine ni kuanzisha maduka ya jumla...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MipcivmYLtGbRSzV-Y6UC87sWPCxhaUN19c-gUaEXJ115ixqF5Ljxyk1gvvgDRXp2VaSNREc1FPshMYbqQSQmjk/BELLA.jpg)
USIKU WA NANI KAMA MAMA DAR LIVE... BELLA KUWEKA HISTORIA MPYA
Stori: Showbiz WAKATI siku zikizidi kukatika kuelekea Desemba 6, katika ule Usiku wa Nani Kama Mama ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuweka historia mpya ndani ya ukumbi huo. Mfalme wa Masauti, Christian Bella ‘Obama’. Akipiga stori na Showbiz, Meneja wa Bella, Amiri Marusu aliongelea usiku huo...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Air Seychelles kuzindua njia mpya Dar
SHIRIKA la Ndege la Jamhuri ya Shelisheli, ‘Air Seychelles’ liinatarajia kuzindua safari za ndege zake jijini Dar es Salaam Desemba 2 mwaka huu. Kwa mujibu wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania