Airtel, UNESCO wazindua redio Uvinza
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elumu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), wamewawezesha wakazi wa Uvinza mkoani hapa kupata taarifa baada...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7iEDyxvcqcI/VC6p6uZaLgI/AAAAAAAGnlw/47YLV5OfVqw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-7iEDyxvcqcI/VC6p6uZaLgI/AAAAAAAGnlw/47YLV5OfVqw/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
10 years ago
Habarileo04 Oct
Airtel wawezesha redio za UNESCO
KAMPUNI ya simu za mkononi ya AirteL kwa kushirikiana na UNESCO imewawezasha wakazi wa Uvinza kupata taarifa za kimaendeleo na habari za ndani na nje ya nchi kuTtokana na uzinduzi wa radio jamii Uvinza Kigoma.
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Uzinduzi wa redio jamii Uvinza: Mkuu wa Mkoa ahimiza weledi, uadilifu na amani
Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na wakazi wa wilaya ya Uvinza kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM mkoani Kigoma. Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambao ndio...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0177.jpg)
UZINDUZI WA REDIO JAMII UVINZA: MKUU WA MKOA AHIMIZA WELEDI, UADILIFU NA AMANI
10 years ago
Dewji Blog02 May
UNESCO yafurahia mabadiliko redio jamii
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akiendesha mafunzo ya matumizi ya kutumia TEHAMA kwa kupeleka na kupokea habari yaliyofanyika katika kituo cha Sengerema Telecentre mkoani Mwanza chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni (UNESCO).
Na Mwandishi Wetu, Sengerema
AWAMU ya pili ya mradi wa kuwezesha...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
UNESCO yawafua watendaji wa redio jamii
Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye, akiwakaribisha na kuwatambulisha wawezeshaji kwa washiriki wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika masuala ya masoko na Tehama kwa mameneja na waandishi wa habari takribani 60 kutoka Redio jamii mbalimbali nchini, yanayoendelea kwenye kituo cha habari na mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza.
Na Mwandishi wetu, Sengerema
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
UNESCO kuendeleza utamaduni wa kuzisaidia redio jamii
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Utawala na Fedha), Bw. Liberat Mfumukeko alipowasili katika chumba maalum cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ufunguzi wa kongamano la siku tatu la Mtandao wa Redio za Jamii katika nchi za Afrika Mashariki (EACOMNET) linalolenga kujadili namna ya kuziwezesha redio hizo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_00142.jpg)
UNESCO YAWAFUA WATENDAJI WA REDIO JAMII
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
UNESCO yaendelea kuzijengea uwezo redio za jamii nchini
Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akizungumza katika kongamano lililowakutanisha watendaji kutoka Redio za jamii nchini katika mji wa Terat, wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara jana.
Mwenyekiti wa Muungano wa Redio za Kijamii nchini (COMNETA), Sekiku Joseph akizungumza katika Kongamano hilo ambalo amesisitiza umuhimu wa viongozi wa Radio za kijamii kuthamini michango inayotolewa na wafadhili...