Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel, UNESCO wazindua redio Uvinza

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elumu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), wamewawezesha wakazi wa Uvinza mkoani hapa kupata taarifa baada...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Airtel na UNESCO wazindua radio ya kwanza Uvinza Kigoma

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM chini ya ufadhili wa shirika la UNESCO na Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania, ambapo wanawezesha jamii ziishizo pembezoni mwa nchini kupata mawasiliano ya radio jamii na kuboresha upatikanaji wa taarifa muhimu. wakishuhudia ni Meneja huduma kwa jamii Airtel Hawa Bayumi, Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Rose Haji, na Mkurugenzi...

 

10 years ago

Habarileo

Airtel wawezesha redio za UNESCO

KAMPUNI ya simu za mkononi ya AirteL kwa kushirikiana na UNESCO imewawezasha wakazi wa Uvinza kupata taarifa za kimaendeleo na habari za ndani na nje ya nchi kuTtokana na uzinduzi wa radio jamii Uvinza Kigoma.

 

10 years ago

Dewji Blog

Uzinduzi wa redio jamii Uvinza: Mkuu wa Mkoa ahimiza weledi, uadilifu na amani

DSC_0177

Mkuu wa Wilaya  ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na wakazi wa wilaya ya Uvinza kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM mkoani Kigoma. Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambao ndio...

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA REDIO JAMII UVINZA: MKUU WA MKOA AHIMIZA WELEDI, UADILIFU NA AMANI‏

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na wakazi wa wilaya ya Uvinza kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM mkoani Kigoma. Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

UNESCO yafurahia mabadiliko redio jamii

DSC_0107

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akiendesha mafunzo  ya matumizi ya kutumia TEHAMA kwa kupeleka na kupokea habari yaliyofanyika katika kituo cha Sengerema Telecentre mkoani Mwanza chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni (UNESCO).

Na Mwandishi Wetu, Sengerema

AWAMU ya pili ya mradi wa kuwezesha...

 

10 years ago

Dewji Blog

UNESCO yawafua watendaji wa redio jamii

DSC_0014

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza  Bw. Felician Ncheye, akiwakaribisha na kuwatambulisha wawezeshaji kwa washiriki wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika masuala ya masoko na Tehama kwa mameneja na waandishi wa habari takribani 60 kutoka Redio jamii mbalimbali nchini, yanayoendelea kwenye kituo cha habari na mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza.

Na Mwandishi wetu, Sengerema

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNESCO kuendeleza utamaduni wa kuzisaidia redio jamii

IMG_4940

Mkuu wa ofisi na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (Utawala na Fedha), Bw. Liberat Mfumukeko alipowasili katika chumba maalum cha wageni kabla ya kuelekea kwenye ufunguzi wa kongamano la siku tatu la Mtandao wa Redio za Jamii katika nchi za Afrika Mashariki (EACOMNET) linalolenga kujadili namna ya kuziwezesha redio hizo...

 

10 years ago

GPL

UNESCO YAWAFUA WATENDAJI WA REDIO JAMII‏

Meneja wa Kituo cha Habari na Mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani Mwanza Bw. Felician Ncheye, akiwakaribisha na kuwatambulisha wawezeshaji kwa washiriki wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya kuwajengea uwezo katika masuala ya masoko na Tehama kwa mameneja na waandishi wa habari takribani 60 kutoka Redio jamii mbalimbali nchini, yanayoendelea kwenye kituo cha habari na mawasiliano cha Redio Sengerema mkoani...

 

9 years ago

Dewji Blog

UNESCO yaendelea kuzijengea uwezo redio za jamii nchini

1

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akizungumza katika kongamano lililowakutanisha watendaji kutoka Redio za jamii nchini katika mji wa Terat, wilayani Simanjiro mkoa wa Manyara jana.

2

Mwenyekiti wa Muungano wa Redio za Kijamii nchini (COMNETA), Sekiku Joseph akizungumza katika Kongamano hilo ambalo amesisitiza umuhimu wa viongozi wa Radio za kijamii kuthamini michango inayotolewa na wafadhili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani