Uzinduzi wa redio jamii Uvinza: Mkuu wa Mkoa ahimiza weledi, uadilifu na amani
Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na wakazi wa wilaya ya Uvinza kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM mkoani Kigoma. Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambao ndio...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0177.jpg)
UZINDUZI WA REDIO JAMII UVINZA: MKUU WA MKOA AHIMIZA WELEDI, UADILIFU NA AMANI
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Airtel, UNESCO wazindua redio Uvinza
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elumu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), wamewawezesha wakazi wa Uvinza mkoani hapa kupata taarifa baada...
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa
Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...
10 years ago
Habarileo25 May
Mkuu wa mkoa ahimiza uwekaji akiba
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Rajabu Rutengwe ameziagiza halmashauri zote mkoani hapa kuhamasisha suala la uwekaji akiba kwa wananchi kujiletea maendeleo.
9 years ago
Habarileo25 Oct
Mkuu wa mkoa wa Tanga ahimiza utulivu siku ya uchaguzi
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amewataka wananchi kujiepusha na vitendo vyovyote vitakavyoashiria uvunjifu wa amani mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu ngazi ya diwani, mbunge na rais.
10 years ago
Habarileo06 Feb
Nape ahimiza weledi taaluma ya habari
WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuendelea kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande mmoja.
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AWATAKA VIONGOZI WA DINI KUSISITIZA AMANI NA UTULIVU WAKATI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25
11 years ago
Mwananchi11 Mar
RC Mara ahimiza uadilifu
11 years ago
Michuzi13 Feb
WAANDISHI WA HABARI WA REDIO ZA JAMII WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA KATIKA KUITUMIKIA JAMII
![DSC_0046](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0046.jpg)
![DSC_0012](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_00121.jpg)