Mkuu wa mkoa ahimiza uwekaji akiba
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Rajabu Rutengwe ameziagiza halmashauri zote mkoani hapa kuhamasisha suala la uwekaji akiba kwa wananchi kujiletea maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Oct
Mkuu wa mkoa wa Tanga ahimiza utulivu siku ya uchaguzi
MKUU wa Mkoa wa Tanga, Mwantumu Mahiza amewataka wananchi kujiepusha na vitendo vyovyote vitakavyoashiria uvunjifu wa amani mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi mkuu ngazi ya diwani, mbunge na rais.
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Uzinduzi wa redio jamii Uvinza: Mkuu wa Mkoa ahimiza weledi, uadilifu na amani
Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mwalimu Hadijah Nyembo (kulia) akitoa nasaha zake kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Luteni Kanali Mstaafu Issa Machibya (wa pili kulia) kuzungumza na wakazi wa wilaya ya Uvinza kwenye sherehe za uzinduzi wa kituo cha redio jamii Uvinza FM mkoani Kigoma. Kutoka kushoto ni Meneja wa huduma za kijamii wa Airtel Tanzania, Hawa Bayumi, Mshauri na Mkufunzi kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambao ndio...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0177.jpg)
UZINDUZI WA REDIO JAMII UVINZA: MKUU WA MKOA AHIMIZA WELEDI, UADILIFU NA AMANI
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rtDyklf-03c/VdDMNEausjI/AAAAAAAABXQ/DhM3oMcakTs/s72-c/DAR%2BWAAHIRISHA%2BUHAKIKI.jpg)
10 years ago
MichuziMENEJIMENTI YA OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA YAMPONGEZA MKUU WA MKOA HUO ENG. STELLA MANYANYA KWA USHINDI WA KISHINDO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA MBINGA MAGHARIBI
9 years ago
StarTV05 Jan
Waziri Mkuu awahimiza Watanzania kuweka akiba
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa mkoa wa Ruvuma kuacha matumizi mabaya hya Fedha badala yake wawe na tabia ya kuweka akiba ya fedha zao benki.
Waziri Mkuu Majaliwa wakati akizindua Benki ya Posta Mkoani Ruvuma amesema endapo mtu hataweka akiba atashindwa kufanya Mambo ya Maendeleo.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa .Kasimu Majaliwa amesema kuweka Fedha Benki kuna kusaidia kuepukana na wezi, pia kunapunguza...
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)
9 years ago
StarTV24 Dec
Mkuu wa mkoa atangaza kufuta maadhimisho ya miaka 50 ya mkoa wa singida
Mkoa wa Singida umefuta sherehe za maadhimsho ya miaka 50 ya tangu kuanzishwa kwake badala yake kiasi cha shilingi milioni 60.6 zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya siku hiyo zitatumika kwa ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali yake ya Rufaa inayoendelea kujengwa.
Lengo la hatua hiyo ni kuunga mkono hatua ya Rais John Magufuli kupunguza sherehe zisizo za lazima na fedha hizo kuelekezwa kwenye shughuli nyingine zenye umuhimu na manufaa zaidi kwa jamii.
Baada ya Serikali kufuta...