Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Airtel yazidi kufungua milango ya biashara mikoani

MKUU wa Wilaya ya Bukoba, Mkoani Kagera Bi. Zipora Pangani ameipongeza Kampuni ya Simu za Mkononi Airtel kwa kufungua duka kubwa, ambalo litatoa huduma mbalimbali kwa wateja ikiwemo kutuma na kutoa fedha ya (AIRTEL MONEY).
Akifungua duka hilo lililopo eneo la Mtaa wa Kawawa Mjini Bukoba, alisema litakuwani chachu ya maendeleo, kwa wakazi wa mkoani Kagera ambapo litarahisisha huduma kwa wananachi.
“Ufunguzi wa hili duka hapa kwetu litakuwa ni chachu ya maendeleo kwa wateja wa Air tel na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZIDI KUFUNGUA MILANGO YA BIASHARA MIKOANI‏

Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Zipora Pangani akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka jipya la Airtel mkoani Bukoba jana, anaefuata ni Mkurugenzi wa huduma kwa wateja Bi Adriana Lyamba (mwenye suti nyeusi) na watoa huduma wa duka hilo mkoani hapo wakishuhudia, duka hilo litakalohudumia wakazi wa mkoa wa Kagera . Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Zipora Pangani (kati) akikata keki maalum… ...

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAIPELEKA AIRTEL TRACE MUSIC STARS MIKOANI‏

Msanii  chipukizi wa kijiwe cha Matofali jijini Morogoro ajulikanaye kwa jina la Jibwa Kali akionyesha umahiri wake wa kuimba wakati Airtel ilipotembelea vijiwe mbalimbali mkonia Morogoro na kuzindua mashindano ya Airtel Trace Mkoani humo.…

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yaipeleka Airtel Trace Music Stars Mikoani

  Msanii  chipukizi wa kijiwe cha Matofali jijini Morogoro ajulikanaye kwa jina la Jibwa Kali akionyesha umahiri wake wa kuimba wakati Airtel ilipotembelea vijiwe mbalimbali mkonia Morogoro na kuzindua mashindano ya Airtel Trace Mkoani humo Msanii  chipukizi ajulikanaye kwa jina la Hamisi Ramadhani aka Brashi Waya 2akionyesha umahiri wake wa kuimba wakati Airtel ilipotembelea vijiwe mbalimbali mkonia Morogoro na kuzindua mashindano ya Airtel Trace Mkoani humo. Pichani ni mashabiki na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baraza Ewura kufungua ofisi mikoani

BARAZA la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (Ewura CCC) limesema mwaka huu wa fedha linatarajia kufungua ofisi katika ngazi ya mikoa ili huduma zake ziwafikie watumiaji wa huduma...

 

5 years ago

Michuzi

VETA, Plan International kufungua milango ya ajira kwa vijana 400 mkoani Mwanza

Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesaini makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Plan International, kutoa mafunzo ya ufundi stadi kwa vijana 400 mkoani Mwanza kupitia mradi wa Vijana na Ubunifu katika Kazi (VUKA).

Akizungumza wakati wa tukio la utiaji saini makubaliano hayo leo tarehe 21 Februari, 2020 katika ofisi za VETA Makao Makuu Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkazi wa Plan International Tanzania Dkt. Mona Girgis amesema kuwa makubaliano hayo yanalenga hasa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Hali ikoje baada ya Tanzania kufungua milango kwa watalii

Tanzania imeanza kuruhusu watalii kuingia nchini humo lakini je hali itarudi kama iliyokuwa na kurudisha imani katika jamii kama ilivyokuwa awali

 

10 years ago

Bongo Movies

Leo Kajala Atoa Kinyongo, Kwa Mara Nyingine Awashukuru Wema na Petitman na Kufungua Milango ya Urafiki Tena

Binadamu tuliumbwa kuishi katika misingi ya ubinadamu na sio unyama kama waishivyo wanyama wa porini leo naomba kusema kutoka moyoni mwangu.. Najua kabisa nina wazazi wangu ndugu zangu na zaidi sana Mungu wangu ila kuna watu mpaka nakufa kamwe sintowasahau katika kuta za moyo wangu katika kipindi changu kigumu nilichopitia mlikuwa nembo namboni kubwa katika kuokoa maisha yangu...

Napenda kusema kuwa hata kwa haya yote tunayopitia bado ni madogo sana kuficha thamani yenu mliyoijenga juu...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL NA MOJIFA WAANZA USHIRIKA WA KUTUNZA MAZINGIRA MIKOANI... WAANZIA ARUSHA‏

Mkuu wa shule ya sekondari Sing’isi mwalimu Upendo Kanana akipanda mti katika viwanja vya shule ya sekondari Sing’isi wakati wa siku maalumu ya upandaji miti zoezi lililoendeshwa na wafanyakazi wa kampuni ya AIRTEL Arusha  huku wanafunzi wa shule hiyo nao wakishiriki tendo hilo jana Kampuni ya simu za mkononi Airtel kwa kushirikiana taasisi isiyo ya kiserikali inayojihusisha na shughulu za utunzaji wa mazingira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Li Yuanchao kufungua kongamano la biashara

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya watu wa China, Li Yuanchao, anatarajiwa kufungua kongamano kubwa la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China kesho jijini Dar es Salaam. Kiongozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani