Aishi kwa kula udongo miaka 10
KIKONGWE Athumani Kulaba (80) mkazi wa Chanika jijini Dar es Salaam, amewashangaza wakazi wa eneo hilo alipobainika kuwa anakula udongo kama chakula kwa zaidi ya miaka 10. Kwa mujibu wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SVfVaVsl8W396OqOTXolhGDW-kja6yEh0MrACfDwU1eSDMQ5Dk4-Ij2dVE4XFAqa6867QTn4mvwKWVqwz6eNX3WXq4aKsb6U/kikongwe.jpg)
KIKONGWE AISHI KWA KULA UDONGO
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Kijana aishi kwa kula mifuko ya plastiki akidai ‘ni mitamu’
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Aishi kwenye handaki kwa miaka minne
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2
Bryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).
Bryan
Baiskeli aliyozawadiwa Bryan.
Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S
— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015
Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015
Donations have come from police, people dropping off at districts, other...
11 years ago
Dewji Blog08 May
Mzee aishi wodini kwa miaka 45 tangu Januari mosi mwaka 1971
Mzee Abdi Nkhambi Lanjui (75) akiwa wodi namba nne katika hospitali ya mkoa mjini Singida. Mzee Lanjui mzaliwa wa kijiji cha Mhintiri tarafa ya Ihanja, aliyekuwa dereva wa kampuni ya mamlaka ya Pamba Mwanza, alipata ajali katikati ya mwaka 1968 na kulazwa katika hospitali ya Sekoture Mwanza na baadaye mwishoni mwa mwaka 1970,alihamishiwa hospitali ya mkoa wa Singida, ambako anaishi hadi sasa. Ajali hiyo ilisababisha kukatika mawasiliano kati ya kuanzia kiunoni na kushuka chini ambako...
11 years ago
Habarileo22 May
Mtoto aishi ndani ya boksi miaka 3
MTOTO wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi. Unyama huo wa kusikitisha, umefanyika muda wote huo kwa mtoto huyo Morogoro mjini katika mtaa wa Azimio bila kuripotiwa popote, huku wakazi na majirani wa nyumba hiyo wakisikia akikohoa na kulia usiku, na baba yake mzazi akiendelea na maisha kwa kumuogopa mkewe.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0laKurIySupi1kUel7qyHuEZj*TKbpANImPnBv7virQ2lJwBRnCNs44kAM1EF6PwZ-ZuAYgf80xJGc26RVFKqC1/PANGONI.jpg?width=650)
AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Mtoto aishi kwenye zizi la mbuzi miaka 10
10 years ago
CloudsFM25 Feb
Mwalimu Kibasila Sekondari aishi na kinyesi miaka miwili
Hebu jenga picha, mwalimu wa shule ya Sekondari halafu anaishi ndani na kinyesi! Hivi hii imekaaje?
CLOUDS TV imeeona aah aah isiishie tu...