Mtoto aishi kwenye zizi la mbuzi miaka 10
>Wakati tukio la mtoto Nasra kuishi kwenye boksi kwa miaka minne na hatimaye kifo chake halijasahaulika, mtoto mwingine mwenye ulemavu amebainika akiwa amefungwa kwenye zizi la mbuzi kwa miaka 10.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii16 Jul
Mtoto afungiwa miaka 10 kwenye banda la mbuzi
11 years ago
Habarileo22 May
Mtoto aishi ndani ya boksi miaka 3
MTOTO wa miaka minne (jina limehifadhiwa), amedhulumiwa haki yake ya utu na kuteswa kwa zaidi ya miaka mitatu, kwa kufungiwa ndani ya boksi kama mnyama, ili asimuambukize mama mlezi virusi vinavyosababisha Ukimwi. Unyama huo wa kusikitisha, umefanyika muda wote huo kwa mtoto huyo Morogoro mjini katika mtaa wa Azimio bila kuripotiwa popote, huku wakazi na majirani wa nyumba hiyo wakisikia akikohoa na kulia usiku, na baba yake mzazi akiendelea na maisha kwa kumuogopa mkewe.
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2
Bryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).
Bryan
Baiskeli aliyozawadiwa Bryan.
Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S
— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015
Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015
Donations have come from police, people dropping off at districts, other...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0laKurIySupi1kUel7qyHuEZj*TKbpANImPnBv7virQ2lJwBRnCNs44kAM1EF6PwZ-ZuAYgf80xJGc26RVFKqC1/PANGONI.jpg?width=650)
AISHI KWENYE HANDAKI MIAKA MINNE
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Aishi kwenye handaki kwa miaka minne
11 years ago
Mwananchi02 Jul
UKATILI: Amfungia mtoto katika banda la mbuzi kwa miaka 10
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO56RE4H6BByy2HtjMq8W2VIuu415zuuZbOlf1GUsd1ssTDdlUFfXBD1TC6Ly3n68a3w410ODdkJQMA8ZBCF80kK/ajabunsana.jpg?width=650)
MTOTO AISHI MAKABURINI
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
Aishi kwa kula udongo miaka 10
KIKONGWE Athumani Kulaba (80) mkazi wa Chanika jijini Dar es Salaam, amewashangaza wakazi wa eneo hilo alipobainika kuwa anakula udongo kama chakula kwa zaidi ya miaka 10. Kwa mujibu wa...
11 years ago
Mwananchi22 May
Mtoto afichwa kwenye boksi miaka minne