AJALI MBEYA: BASI LA COCA COLA LAGONGANA NA NADIA ASUBUHI HII

Gari aina ya Toyota Nadia likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana na basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola leo asubuhi mkoani Mbeya.  Basi la kubeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola baada ya kugongana na Nadia.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI
10 years ago
Michuzi.jpg)
news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso
.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Nov
TASWILA KUTOKA ENEO LA AJALI KAHAMA BASI LA KAMPUNI YA WABONELA LILILOPINDUKA LEO ASUBUHI



Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na...
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Watu 2 wapoteza maisha kwenye ajali ya basi la Smart eneo la Lugoba leo asubuhi
Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.
Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko.
Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi ya leo.
Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba Barabara Kuu ya Chalinze...
10 years ago
Michuzi16 Sep
COPA COCA COLA KUFANYIKA MWAKANI

Michuano hiyo ambayo hushirikisha timu za mikoa yote Tanzania kuanzia katka ngazi ya Wilaya, hufanyika kila mwaka kwa kuwashirkisha vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U15).
Taarifa ya Idara ya Masoko ya Coca Cola imesema kampuni hiyo ...
11 years ago
BBC
VIDEO: Coca Cola v Gay Rights
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Ofisa Masoko Coca-Cola auawa
OFISA Masoko wa Kampuni ya vinywaji ya Coca-Cola, Steven Mbilo (40), amefariki dunia baada ya kupigwa risasi maeneo ya kifuani. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Iringa,...
9 years ago
TheCitizen07 Dec
Coca-Cola Pulls Offensive Ad, but the Damage Is Already Done
11 years ago
Mwananchi10 Oct
Kambi ya Copa Coca Cola safi