Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJALI MBEYA: BASI LA COCA COLA LAGONGANA NA NADIA ASUBUHI HII

Gari aina ya Toyota Nadia likiwa limeharibika vibaya baada ya kugongana na basi lililokuwa limebeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola leo asubuhi mkoani Mbeya.  Basi la kubeba wafanyakazi wa Kampuni ya Coca Cola baada ya kugongana na Nadia.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

AJALI: BASI LA ABILIA LAGONGANA USO KWA USO NA FUSO LA NYANYA ENEO LA MIKUMI

Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujerihiwa baada ya basi la FM Safari likitokea Dar es Salaam kwenda mkoani Mbeya kugongana uso kwa uso na Fuso iliyo sheheni nyanya katika eneo la hifadhi ya mikumi barabara ya Morogoro-Iringa. Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva wa basi kutaka kulipita gari lingine na hivyo kugongana uso kwa uso ambapo wametupia lawama baadhi ya abiria...

 

10 years ago

Michuzi

news alert: Ajali ingine yatokea Soni leo, lori la mafuta lagongana na basi la abiria uso kwa uso

Abiria zaidi ya 50 wamenusurika leo bada ya basi walilokuwa wakisafiria liitwalo Burudani kugongana uso kwa uso na Lori la tenki la mafuta maeneo ya Soni mkoani Tanga. Mashuhuda wamesema hii ajali imetokea baada ya Lori la mafuta kukatika breki na kuvaana na basi hilo uso kwa uso. Habari zinasema hakuna maafa yaliyoripotiwa hadi sasa ila watu kadhaa wamepata majeraha na kukimbizwa hospitali. Hii ni ajali ya pili ya basi la abiria kutokea leo, ikufuatiwa na ile ya asubuhi maeneo ya Msimba,...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWILA KUTOKA ENEO LA AJALI KAHAMA BASI LA KAMPUNI YA WABONELA LILILOPINDUKA LEO ASUBUHI

Wananchi wakishuhudia basi la Wibonela lililopinduka leo asubuhi huko Kahama.Wananchi wakiwa eneo la ajali huku wengine wakijaribu kupata picha za hapa na paleWATU kadhaa wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa asubuhi hii kwenye ajali ya basi la Wibonela lililokuwa likitoka Kahama kwenda Dar lililopinduka eneo la kona ya Phantom, Kahama.

Chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi uliopelekea dereva wa basi kushindwa kulimudu lilipofika kwenye kona ya Phantom na kupelekea kuingia mtaroni na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Watu 2 wapoteza maisha kwenye ajali ya basi la Smart eneo la Lugoba leo asubuhi

unnamed

Basi la Smart likiwa limepinduka eneo la Lugoba.

unnamed (1)

Mmoja wa majeruhi wa ajali hiyo akiwa amepoteza fahamu baada ya kupata mshtuko.

unnamed (2)

Watu wawili Wamefariki Dunia Kutokana na Ajali ya Basi la Smart Asubuhi ya leo.

Basi Hilo Lililokuwa likitokea Jijini dar es salaam Kuelekea Mombasa Nchini Kenya Limeacha Njia Na Kupinduka na Kusababisha Vifo vya watu Wawili pamoja na Kujeruhi abiria wanaokadiriwa kufika 20 .Ajali hiyo imetokea katika Eneo la Mkata na Lugoba  Barabara Kuu ya Chalinze...

 

10 years ago

Michuzi

COPA COCA COLA KUFANYIKA MWAKANI

MASHINDANO ya Copa Coca Cola yanayodhaminiwa na Kampuni ya Vinywaji ya Coca Cola yaliyokuwa yafanyike katikati ya mwaka huu, sasa yatafanyika mapema mwakani mwezi Februari kuanzia ngazi ya Wilaya na fainali zake kufanyika mwezi Juni na Julai 2016.
Michuano hiyo ambayo hushirikisha timu za mikoa yote Tanzania kuanzia katka ngazi ya Wilaya, hufanyika kila mwaka kwa kuwashirkisha vijana wenye umri chini ya miaka 15 (U15).
Taarifa ya Idara ya Masoko ya Coca Cola imesema kampuni hiyo ...

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Coca Cola v Gay Rights

#BBCTrending investigates a Coca Cola website that prohibits the word 'gay'

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ofisa Masoko Coca-Cola auawa

OFISA Masoko wa Kampuni ya vinywaji ya Coca-Cola, Steven Mbilo (40), amefariki dunia baada ya kupigwa risasi maeneo ya kifuani. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Iringa,...

 

9 years ago

TheCitizen

Coca-Cola Pulls Offensive Ad, but the Damage Is Already Done

In an ad distributed by Coca-Cola Mexico, pretty, young white people do their holiday good deed by bringing bottles of soda to a remote village and build a wooden Christmas tree in the town square.

 

11 years ago

Mwananchi

Kambi ya Copa Coca Cola safi

Kambi ya kimataifa ya Copa Coca-Cola imeanza leo katika uwanja wa michezo wa Chuo Kikuu cha Pretoria ikishirikisha vijana wadogo kutoka nchi za Tanzania, Kenya, Burundi, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wakijifunza mbinu mbalimbali za soka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani