Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajira mpya 700,000 kupatikana 2014/15

SERIKALI inatarajia kuzalisha ajira 700,000 katika mwaka wa fedha ujao wa 2014/2015, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na tatizo la ajira.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ajira 700,000 kuzalishwa

SERIKALI imesema ajira 700,000 zinatarajiwa kuzalishwa nchini katika mwaka wa fedha 2014/2015. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, wakati akiwasilisha makadirio ya...

 

11 years ago

TheCitizen

Minister says govt will create over 700,000 jobs in 2014/15

Up to 700,000 job opportunities are set to be created in 2014/15 fiscal year, minister for Labour and Employment Gaudensia Kabaka told Parliament yesterday.

 

10 years ago

GPL

ORIFLAME TANZANIA YATOA AJIRA KWA VIJANA 60,000 NCHINI- YATANGAZA BIDHAA ZAKE MPYA

 Mkurugenzi Mwandamizi wa Kampuni hiyo, Japhet Naftal (kulia), akiwapigisha makofi wanachama wa Oriflame baada ya kuzungumza nao katika hafla hiyo ya kutangaza bidhaa mpya za Kampuni hiyo iliyofanyika katika ofisi zao Dar es Salaam leo jioni zilizopo Posta Mpya ghorofa la Benjamin William Mkapa Towers Mezzanine Floor..  Meneja Mkazi wa… ...

 

10 years ago

TZtoday

AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15

                           OFISI YA WAZIRI MKUU  

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (OWM - TAMISEMI)

 

AJIRA MPYA YA MAFUNDI SANIFU WA MAABARA NA WALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI MWAKA 2014/15

A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya       

Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-

i.                 walimu wa cheti (Daraja IIIA)...

 

9 years ago

TheCitizen

700,000 write STD7 exams today

The National Examination Council of Tanzania (Necta) yesterday directed political parties to refrain from conducting election campaigns in areas surrounding primary schools in the country as 775,729 Standard VII pupils sit for their national exams today.

 

9 years ago

Mwananchi

Watahiniwa darasa la saba zaidi ya 700,000 kuanza mitihani kesho

Wanafunzi 775,729 walioandikishwa kufanya mtihani wa darasa la saba nchini, kesho wanaanza kufanya mtihani huo, huku idadi ya watahiniwa ikipungua ukilinganisha na walioandikishwa mwaka jana.

 

5 years ago

ScienceAlert

The Earliest Sex Between Different Human Ancestors May Have Occurred 700,000 Years Ago

The Earliest Sex Between Different Human Ancestors May Have Occurred 700,000 Years Ago  ScienceAlertAncient humans interbred with mysterious population 700,000 years ago - Business Insider  Business InsiderEarliest interbreeding event between ancient human populations discovered  Phys.orgDistant human relative mixed with our cousins  CosmosNeanderthal-Denisovan ancestors interbred with a distantly related hominin  Science AdvancesView Full coverage on Google...

 

9 years ago

Mwananchi

Mufti mpya kupatikana kesho

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kupatikana kesho katika mkutano mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), utakaofanyika mjini hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Katiba mpya hatihati kupatikana

Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole SendekaWABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameilalamikia Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, kuwa inaweza kuchangia kusipatikane Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani