Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mufti mpya kupatikana kesho

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kupatikana kesho katika mkutano mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), utakaofanyika mjini hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania kupatikana kesho

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, anatarajiwa kupatikana kesho katika mkutano mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), utakaofanyika mjini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Mufti Tanzania kupatikana leo

SASA ni rasmi kwamba, Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa kumpata Mufti wa Tanzania unatarajiwa kufanyika leo mjini hapa ukishirikisha wagombea wanne, akiwemo Kaimu Mufti, Shehe Abubakar Zuberi.

 

10 years ago

Michuzi

MWILI WA MUFTI KUSAFIRISHWA KESHO MKOANI SHINYANGA

Mufti ,Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba enzi za uhai wake.Na Chalila Kibuda.MWILI wa  Mufti ,Alhaj Sheikh Shaban Issa Bin Simba unatarajiwa kusafirishwa kesho mkoani Shinyanga.Akizungumza na waandishi wa habari leo Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislam Tanzania (Bakwata),Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam,Alhaj Alhad Mussa Salum amesema mwili wa marehemu utaswaliwa kesho katika Msikiti wa Msilimu ,viongozi mbalimbali wa dini na serikali watakuwepo.Amesema marehem alikuwa akisumbuliwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Katiba mpya hatihati kupatikana

Mbunge wa Simanjiro, Christopher ole SendekaWABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameilalamikia Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, kuwa inaweza kuchangia kusipatikane Katiba mpya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askofu: Katiba mpya ngumu kupatikana

IMEELEZWA kuwa katiba mpya haiwezi kupatikana kutokana na makosa makubwa yaliyofanywa na watawala hapo awali. Hayo, yamesemwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Uhamsho wa Agano Jipya, Jackson Leguna, alipokuwa...

 

11 years ago

GPL

SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS KANDA YA NYANDA ZA JUU KUSINI LAINGIA HATUA YA PILI LEO, KESHO WASHINDI KUPATIKANA‏


Kundi la Kwanza la Washiriki waliofanikiwa kuingia hatua ya pili ya Mchujo katika Mashindano ya Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya Wakipewa maelekezo kwaajili ya kuanza hatua ya mchujo leo.

  Washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents Mkoani Mbeya kanda ya Nyanda za Juu Kusini wakiwa katika mazoezi mara baada ya kukabidhiwa Muswada (script) ikiwa ni hatua ya pili sasa ya shindano hili…
...

 

11 years ago

Habarileo

Ajira mpya 700,000 kupatikana 2014/15

SERIKALI inatarajia kuzalisha ajira 700,000 katika mwaka wa fedha ujao wa 2014/2015, ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na tatizo la ajira.

 

10 years ago

Michuzi

JUKATA WAMBEBESHA LAWAMA SITTA, WASEMA KATIBA MPYA NI NDOTO KUPATIKANA

 Kaimu mwenyekiti wa Uukwaa la Katiba Tanzania Hebron Mwakagenda akizungumza na wanandishi wa habari leo Agosti 27, 2014 juu ya mwenendo wa bunge la katiba.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Wakati mchakato wa katiba Tanzania ukiwa ni kama kitendawili kisicho na majibu sahihi kutokana na mchakato huo kuvurugika na kukosa mwelekeo, nao Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA) wazidi kumtupia lawama zote za kuvurugika bunge hilo mwenyekiti wa bunge hilo mheshimiwa Samweli Sitta na kudai kuwa ndiye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Baraza la Bakwata kumchagua mufti mpya

Baraza kuu la Waislam Tanzania Bakwata leo linafanya mkutano mjini Dodoma kumchagua mufti mkuu mpya nchini humo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani