Askofu: Katiba mpya ngumu kupatikana
IMEELEZWA kuwa katiba mpya haiwezi kupatikana kutokana na makosa makubwa yaliyofanywa na watawala hapo awali. Hayo, yamesemwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Uhamsho wa Agano Jipya, Jackson Leguna, alipokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Mar
Katiba mpya hatihati kupatikana
WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wameilalamikia Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, kuwa inaweza kuchangia kusipatikane Katiba mpya.
11 years ago
Mwananchi03 Aug
Jaji Mutungi: Hali ngumu Katiba mpya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oKxTM5m0cec/U_5gR0GO2jI/AAAAAAAA_sA/dqVpPxosogE/s72-c/IMG_3109.jpg)
JUKATA WAMBEBESHA LAWAMA SITTA, WASEMA KATIBA MPYA NI NDOTO KUPATIKANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oKxTM5m0cec/U_5gR0GO2jI/AAAAAAAA_sA/dqVpPxosogE/s1600/IMG_3109.jpg)
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Wakati mchakato wa katiba Tanzania ukiwa ni kama kitendawili kisicho na majibu sahihi kutokana na mchakato huo kuvurugika na kukosa mwelekeo, nao Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA) wazidi kumtupia lawama zote za kuvurugika bunge hilo mwenyekiti wa bunge hilo mheshimiwa Samweli Sitta na kudai kuwa ndiye...
10 years ago
Habarileo17 Aug
Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya
MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MYTLNLYpF2RkqiaGdcgk5Dk6Jdl*YyKZPYkBrpwyc-EdINJvVtXkR4o*oKEilw2VeC3r1R42gRg-sGbMwE1ebAj/AskofuSeverinNiwemugizi.jpg?width=650)
ASKOFU WA KATOLIKI AELEZA NJIA MPYA KUZUIA KATIBA
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Askofu wa Katoliki aeleza njia mpya kuzuia Katiba
![Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Askofu-Severin-Niwemugizi.jpg)
Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
MAKAMU wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema maoni yaliyotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) juu ya Bunge Maalumu la Katiba, hayajatekelezwa na hivyo watapita kwa Watanzania na waumini wao kuwaeleza nini cha kufanya.
Jukwaa hilo lilikutana Agosti 27 hadi 28, mwaka huu na kujadili hatima ya Bunge hilo na kutoa mapendekezo sita, moja ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Mufti mpya kupatikana kesho
10 years ago
Mtanzania29 Sep
Wiki ngumu Bunge Maalum la Katiba
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
Na Maregesi Paul, Dodoma
WIKI hii ni kati ya wiki ngumu zilizowahi kulikumba Bunge Maalum la Katiba lililoanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.
Wakati Bunge linaanza mwanzoni mwa mwaka huu, wajumbe walitumia muda mwingi kujadili sura ya kwanza na ya sita inayohusu muundo wa Serikali na pia walivutana wakati walipokuwa wakijadili kanuni za 37 na 38 za Bunge hilo zinazohusu upigaji kura ya siri au ya...