Akamatwa akitafuta mteja wa mtoto albino
Mtu mmoja amekamatwa na polisi akiwa katika harakati za kutafuta soko la kuuza mtoto mdogo wa dada yake ambaye ana ulemavu wa ngozi mwenye umri wa miaka sita.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNQqh-ISC5TN87Uk8jM8fjWUDY8V5-rFVbjEo6rm2kQ9bRFBADQLb6Vn06JB2N6Oc07aMjqcf7Z5Sk*45T3Qzso/abambwa.gif?width=650)
MTOTO ATUMIWA KUMWIBA MTOTO, AKAMATWA...
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Akamatwa akijaribu kuuza mtoto wa miezi 3
10 years ago
Mtanzania22 May
Mtoto akamatwa kwa tuhuma za kumuua mwenzake
NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Kolla Hill, Judith Chomile (15) kwa tuhuma za mauaji.
Mwanafunzi huyo anadaiwa kumnyonga ndugu yake, Edrin Mafwele (9) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Benard Bendel iliyopo Manispaa ya Morogoro.
Tukio hilo lilitokea juzi usiku wakati watoto hao walipokuwa nyumbani kwao.
Baba wa marehemu Edrin Mafwere aliyefahamika kwa jina la Barnabas Mafwele, mkazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8FM4KxgwHbYE51aKbJCBHurfvknUqrGJLuLOnmPlZxjXiQLa5WuQeCdUWzJ8v28PzNKxeh6z6BhtFd7l0trJFE/140414145055_mohammad_arif_ali_512x288_ikrampiracha_nocredit.jpg?width=650)
AKAMATWA KWA KULA MAITI YA MTOTO PAKISTAN
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSMv-gPSdE*OcpF99uZMZITHxv87BQg8*82bsNjHf8c4tniat1C0fn-OIem5urX6XWFXT3eZNkyvek3R44o59KlT/Hausigeli.jpg?width=650)
HAUSIGELI AIBA MTOTO DAR, AKAMATWA MWANZA
5 years ago
BBCSwahili06 May
Mtoto wa miaka mitano akamatwa Marekani akiendesha gari la wazazi wake
10 years ago
Mtanzania26 Feb
Waliomteka mtoto albino wanaswa
Na Waandishi Wetu, Mwanza
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, ametangaza kutiwa mbaroni kwa watuhumiwa wanaodaiwa kumteka mtoto Pendo Emmanuel (4) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino).
Mulongo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa, amesema watu hao wanahusishwa na tukio la kutekwa kwa mtoto Pendo katika Kijiji cha Ndami wilayani Kwimba mkoani hapa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Mwanza baada ya kumwapisha Mkuu mpya wa Wilaya ya Kwimba, Pili Moshi,...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono