AKAMATWA KWA KUKODISHA BUNDUKI KWA MAJAMBAZI
![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4djS6elzPkC3oFMv4s-DaW5bI3HKnpDBnjP-6SbXe0mZkvuvDwO4ICvdqDSRcaYkdq1WuSB1Vem-nNKSOLQL5wE/AK47.jpg?width=650)
MTU mmoja, Taratibu Hemedi (74) ambaye ni mmiliki wa bunduki aina ya shotgun na mwanaye Hemedi Taratibu (32) wamekamatwa na polisi kwa tuhuma za kukodisha silaha hiyo kwa majambazi. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, ACP Costantine Massawe alisema hivi karibuni kuwa watu hao walikamatwa baada ya watu watano wanaodhaniwa ni majambazi kukamatwa na polisi wilayani Korogwe mkoani Tanga kwa tuhuma za kukutwa na bunduki hiyo na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 May
Majambazi wampora bunduki askari, Pwani
10 years ago
GPLMAJAMBAZI WAPORA BUNDUKI, WAITUMIA KUIBA PESA DUKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9nMo*2PoeNvM8ZMrvgOVQ*bsnVi2subCuT*CnadrrkQ*ry46A8P8HFbibwnjYZwC3WSMmnYhXl6QNoF2QZCvrCP/IMG20150113WA0015.jpg?width=650)
MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
10 years ago
BBCSwahili30 Jan
Awatisha watu kwa bunduki bandia studioni
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Mbaroni kwa kukutwa na bunduki, sare za polisi
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kukutwa na bunduki aina ya Shotgun na sare za Jeshi la Polisi ambazo zilitumika katika matukio ya uhalifu...
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
Lissu: Katiba ya wananchi haiwezi kupitishwa kwa mitutu ya bunduki
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Tundu Lissu, amesema Katiba ya Wananchi haiwezi kupitishwa chini ya ulinzi mkali wa vikosi vya ulinzi na usalama vyenye mitutu ya bunduki,...
11 years ago
CloudsFM12 Jun
MAHAKAMA YAELEZWA JINSI BILIONEA ERASTO MSUYA ALIVYOUAWA KINYAMA KWA KUTUMIA BUNDUKI YA SMG
Bunduki ya kivita aina ya Sub Machine Gun (SMG) iliyotumika kumuua mfanyabiashara tajiri wa Mirerani, Erasto Msuya, ilinunuliwa kwa Sh4 milioni nchini Kenya, Mahakama imeelezwa.
Imeelezwa pia kwamba wauaji wanne waliokwenda eneo la tukio kutekeleza mauaji hayo, walilipwa Sh5 milioni kila mmoja na washirika wao wakilipwa Sh3 milioni kila mmoja.
Hayo yamo katika maelezo ya mashahidi 57 kwa washtakiwa yalisomwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mkoa Kilimanjaro, Munga Sabuni juzi na mawakili wa...