Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al-Sisi akabidhiwa madaraka

Baada ya kuapishwa, rais mpya wa Misri akabidhiwa madaraka na kiongozi wa mpito anayeondoka madarakani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Misri: Al-Sisi hana uchu wa madaraka

Jeshi la Misri limekanusha ripoti za gazeti moja nchini Kuwait kuwa mkuu wa majeshi nchini Misri,Field Marshall, Abdel Fattah al-Sisi, atagombea urais.

 

11 years ago

BBC

Sisi: Brotherhood 'will not exist'

Egyptian presidential favourite Abdul Fattah al-Sisi has vowed that the ousted Muslim Brotherhood group "will not exist" should he win.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa wanaonunua madaraka waonywa

Mohamed RazaWANANCHI wametakiwa kuwa waangalifu na wanasiasa wanaotumia rushwa kutaka uongozi kwani hawana nia kuongoza nchi.

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Madaraka yasiwagawe Watanzania

g1 (1)Na Bakari Kimwanga, Tanga

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli ameonya na kusema nafasi za madaraka zisiwagawe Watanzania.

Amesema kila mtu anawajibu wa kulitumikia taifa na watu wake bila kubaguliwa na wenye nafasi za uongozi.

Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo jana kwa nyakati tofauti, alipokuwa akizungumza kwenye mikutano ya kampeni za kuomba kuchaguliwa katika wilaya za Muheza, na Pangani mkoani Tanga.

Alisema nchi inahitaji viongozi ambao hawatawagawa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali Diendere kurejesha madaraka

Jenerali Gilbert Diendere aliyefanya mapinduzi nchini Burkina Faso amesema kuwa yupo tayari kukabidhi serikali kwa utawala wa kiraia

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Hatuhitaji madaraka tunawakilisha wafugaji’

KUNDI la wafugaji limesema halihitaji madaraka ndani ya Bunge Maalumu la Katiba bali wanahitaji kufanya kazi ya kuwakilisha kundi hilo ili litambulike kwenye Katiba. Akizungumza na Tanzania Daima bungeni jana...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utamu wa madaraka unazamisha nchi

MIAKA ya nyuma kulikuwa na kitabu kimoja cha hadithi chenye hadithi ya kusisimua ya “Muwa uliozamisha Meli” kilichoelezea Manaodha wa meli walionogewa na utamu wa muwa waliokuwa wanakula ndani ya...

 

11 years ago

Habarileo

Bosi TTB avuliwa madaraka

Dk Aloyce Nzuki MKURUGENZI Mtendaji wa Bodi ya Utalii (TTB), Dk Aloyce Nzuki amevuliwa madaraka kwa madai ya utendaji usioridhisha pamoja na kusababisha Tanzania kuwa nyuma katika masuala ya utalii.

 

10 years ago

Mwananchi

JK aanza kukabidhi madaraka nje

Rais Jakaya Kikwete amekabidhi madaraka ya Uratibu wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika ya Mazingira (CAHOSCC) kwa Rais wa Misri, Jenerali Abdel Fatteh El Sisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani