Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALAT yawakumbusha madiwani wajibu wao

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania (ALAT), Abraham Shamumoyo, amewataka madiwani kusimamia fedha za miradi ya maendeleo zinazopelekwa na serikali kwenye halmashauri zao. Shamumoyo alisema hayo jana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

ALAT yawapa somo madiwani

SHIRIKISHO la Serikali za Mitaa (ALAT) Mkoa wa Geita limewataka wenyeviti wa halmashauri na madiwani kushirikiana na watendaji kuhakikisha maendeleo ya mkoa huo yanasonga mbele. Mwenyekiti mpya wa ALAT Mkoa...

 

10 years ago

Mwananchi

Watendaji wakumbushwa wajibu wao

Rais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein amewataka viongozi kufahamu mipaka ya majukumu yao ili kuimarisha misingi ya utawala bora katika utendaji wa shughuli za Serikali visiwani hapa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wawakumbusha wajumbe wajibu wao

BAADHI ya wananchi wa Dodoma wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kujadili mambo ya msingi na si kutumia muda mwingi kuonyeshana ujasiri wa kutetea vyama vyao. Mbali na hilo...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yazungumza na Mabalozi kuhusu wajibu wao katika Uchaguzi Mkuu

Serikali kupitia Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, imesema kuwa waangalizi wa Uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, hawatakiwi kutoa tamko lololote kuhusiana na uchaguzi au Kampeni kabla ya Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kutangaza matokeo. Waziri husika na Wzara hiyo, Bernard Membe amesema hayo wakati akizungumza na Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania, ambapo amesema waangalizi hao wanaweza kutoa ripoti zao baada ya kuthibitishwa na Wizara hiyo au NEC na...

 

5 years ago

Michuzi

Chadema wajibu mapigo kwa Ole Sendeka 'Dhamira yetu sio madiwani pekee tutachukuwa mpaka halmashauri'.


Na Amiri Kilagalila,Njombe

Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema mkoa wa Njombe kimesema kinaamini ushindi mkubwa katika maeneo mengi ya mkoa wa Njombe kwa kuwa wamejipanga kikamilifu licha ya mitiani yote wanayopitia.

Hayo yamebainishwa na viongozi wa chama hicho mkoani Njombe wakati wa hafla fupi ya kuwapongeza madiwani wanaotokana na chama hicho wa halmashauri ya mji wa Makambako kwa kuvumilia na kufanikiwa kumaliza kipindi chao cha miaka mitano.

Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Njombe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kw kujitolea zaidi

PIX1aa

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) akitoa nasaha kwa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati akizindua Balaza la 13 la Michezo leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo. Wajumbe waliohudhuria hafla hizo ni pamoja na ,Mkurugenzi wa PSPF Adam Mayingu, Zacharia Hans Pope, Jamal Rwambow, Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa watakiwa kujenga utamaduni wa kutekeleza wajibu wao kwa kujitolea zaidi

Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) akitoa nasaha kwa wajumbe wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) wakati akizindua Balaza la 13 la Michezo leo jijini Dar es Salaam.Katikati ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo Profesa Elisante Ole Gabriel na wa mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo. Wajumbe waliohudhuria hafla hizo ni pamoja na ,Mkurugenzi wa PSPF Adam Mayingu, Zacharia Hans Pope, Jamal Rwambow, Mkurugenzi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora - Balozi Seif Ali Iddi

Wazazi wana wajibu na ulazima wa kuhakikisha kwamba watoto wao wanawasimamia vyema katika kupata elimu bora itakayotoa mwanga wa kimaisha katika hatma yao ya baadaye. 
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa nasaha hizo wakati akizunghumza na Uongozi wa Kamati ya Skuli, walimu, Wazazi na Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Kinyasini Wilaya ya Kaskazini “A “ mara baada ya kuikagua na kuangalia maendeleo na changamoto zinazoikabili skuli hiyo. 
Balozi Seif alisema elimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani