Albino wa Kwimba atafutwa usiku na mchana
JESHI la polisi mkoani Mwanza limesema hadi kufikia jana mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Pendo Emmanuel (4) aliyeporwa katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba alikuwa hajapatikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jan
UN yaguswa na albino wa Kwimba
MKURUGENZI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Alvaro Rodriguez amesema Umoja wa Mataifa (UN) umesikitishwa na kitendo cha kuporwa kwa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) na watu wasiojulikana kilichotokea katika kijiji cha Ndami wilayani Kwimba mkoani hapa ambapo hadi sasa bado hajapatikana.
10 years ago
Habarileo19 Jan
Polisi sasa wabadili mbinu msako wa albino Kwimba
POLISI mkoani hapa imetoa picha ya mtoto mwenye ulemavu wa ngozi, Pendo Emmanuel (4) aliyetekwa na watu wasiojulikana katika kijiji cha Ndami, wilayani Kwimba ili kuwezesha yeyote atakayemwona kutoa taarifa Polisi ama kwenye ofisi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
10 years ago
Vijimambo![](https://lh5.googleusercontent.com/-zWOam5dPKSE/VLzrvfZfiZI/AAAAAAAAJFE/X8eoTLgJh8g/s72-c/blogger-image--619882701.jpg)
POLISI SASA MAJI YA SHINGO...WAAMUA KISAMBAZA PICHA ZA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA -KWIMBA
![](https://lh5.googleusercontent.com/-zWOam5dPKSE/VLzrvfZfiZI/AAAAAAAAJFE/X8eoTLgJh8g/s640/blogger-image--619882701.jpg)
10 years ago
Habarileo27 Jan
Walioua polisi wasakwa usiku na mchana
JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.
9 years ago
Mtanzania27 Aug
Magufuli: Mawaziri wangu watafanya kazi usiku na mchana
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli-300x203.jpg)
Waziri John Magufuli
Na Bakari Kimwanga, Tunduma
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema akifanikiwa kushinda Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, atakuwa na baraza dogo la mawaziri litakalofanya kazi usiku na mchana.
Akihutubia mamia ya wananchi katika mkutano wa kampeni mkoani Rukwa juzi, Dk. Mgufuli alisema mawaziri wake watahudumia wananchi kwa wakati na si kukaa ofisini na kusubiri kuletewa taarifa.
“Nitateua mawaziri wachache na wenye uadilifu, kama kuna waziri...
11 years ago
MichuziMAGUFULI AMTAKA MKANDARASI KUFANYA KAZI USIKU NA MCHANA
“Najua bado mnaidai serikali zaidi ya shilingi bilioni tatu lakini hii isiwe sababu ya kushindwa kuendelea na kazi japo mlishaonyesha mfano mzuri wa...
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Miss Albino kupatikana leo usiku
NA GEORGE KAYALA
KUNDI la Mashauzi Classic Modern Taarab linatarajiwa kutoa burudani kali ya kukonga nyoyo za mashabiki watakaoshuhudia shindano la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino’, linalofanyika katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam leo usiku.
Tamasha hilo limeandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF) kupitia Baraza la Sanaa nchini (Basata).
Mratibu wa tamasha hilo, Fredy Kaula, ambaye pia ni Mwenyekiti wa shirika...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s72-c/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
SHEREHE ZA EID AL HAJJ NEW YORK SIKU YA SEPTEMBER 24 SIKU YA ALHAMIS KUANZIA SAA 7 MCHANA HADI 4 USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-l007pmAjufo/VfzMHtLJfkI/AAAAAAAD7wc/VKZIzBuGhWc/s640/eid-grand-mosque-in-mecca.jpg)
Jumuiya ya Waislam Watanzania wa NY, NJ, CT MA, PA na DE (NEMTA) ina furaha kuwaalika Watanzania wote wanaishio katika majimbo tajwa kuhudhuria tafrija ya kusherehekea Eid Al Hajj. Ndugu waalikwa tunawaomba kufika kwa wakati ili tuweze kufaidika na kuwafaidisha watoto wetu kusherehekea siku hii adhimu. Kuhudhuria kwako itakuwa ni ushirikiano mkubwa katika kufanikisha sherehe hii. Mahala husika ambapo sherehe itafanyika ni Madina Hall Kuanzia saa 7 Mchana hadi 4 usiku Watanzania wote...